kritika
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 410
- 1,156
Nimekua nikijiuliza kwanini wanaume wa siku hizi wapo weak sana,kwenye wanaume 10 basi ujue tisa wanachezea vichapo kutoka kwa wake zao au wa nawake zao.
Ni aibu sana mtoto wa kiume anakunjwa na mtoto mrembo anakosa pumzi kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi wanaume wa siku hizi mmekua je lakini?
Zamani mwanaume akikupiga kofi tu ni kama umerushiwa fuko la cement ila siku hizi wanaume mikono laini hata ile heshima kwao imepungua sana kwakwel,badilikeni wanaume mnatia aibu sana
Mwenzenu huyo hapo katiwa kabali hata kuongea hawezi sasa najiuliza akifumaniwa huyo kisamvu si kinaliwa kirahisi sana[emoji23] ????
Jpil njema
Ni aibu sana mtoto wa kiume anakunjwa na mtoto mrembo anakosa pumzi kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi wanaume wa siku hizi mmekua je lakini?
Zamani mwanaume akikupiga kofi tu ni kama umerushiwa fuko la cement ila siku hizi wanaume mikono laini hata ile heshima kwao imepungua sana kwakwel,badilikeni wanaume mnatia aibu sana
Mwenzenu huyo hapo katiwa kabali hata kuongea hawezi sasa najiuliza akifumaniwa huyo kisamvu si kinaliwa kirahisi sana[emoji23] ????
Jpil njema