Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Hivi uwa ni kwanini mwanaume ukimtukana kwamba yeye ni "demu" inaumizaga sana kuliko matusi yoyote wakati wanawake ukimfananisha na mwanaume ni kama wanaonaga umewapa vyeo?
blame no body
blame no body