ExactlyIkiwa kumbadilisha ni ngumu, badilika wewe. Muelewe hivyo hivyo alivyo.
Kuna wenzako wanamtafuta kama huyo. Hata mimi kuchatichati sana kuna muda naona kama kero au mambo ya vijana.
Naweza nisiwe sahihi lakini endapo huko awali ulishakua na watu romantic usitake mme wako awe kama wao.
Kwake mambo ya msingi ndio kipaumbele. Mie nilijua hakupi haki yako, kumbe anatekeleza majukum yake ipasavyo isipokua mtindo wake ndio unakutatiza? Hilo usilichukulie kama tatizo
Hii inatukumba sie tuliolelewa na kukulia katika ile imani na misingi ya hofu ya Mungu. Wala hana tatizo lolote.
Nawaelewa sana wanacho maanisha namm sitaki hiyo point yao kwahiyo ndo nawatoa kwenye reli huvyoo hahahahahahahHahaha, madam unanichekesha. Umesema hapigi deki coz wewe upo, na sasa unasema akipata likizo anaenda uvinza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji39]
Umeongea Mkuu, sioni ni kwa sababu gani huyo mdada ameamua kuleta mambo binafsi ya chumbani hapa kwenye hadahara ya watu, humu kuna watu wana matatizo yao mengi sana, watu wana stress za maisha, hayo anayoongea wanaona kama ni chai ya rangi tu, nadhani huyo mwanamke yuko idle sana, anatakiwa apewe kazi hata ya kuponda kokoto, naamini hatapata muda tena wa kuwaza hayo mambo.Nenda kaa nae mzungumze wenyewe,muweke wazi msimfiche, funguka na Kama ni mtu muelewa basi atabadilika.
Hapa jf huta pata suluhu ya hilo tatizo kamwe.
Naona wewe na mlokole wako wote mmechaguana kwa usahihi kabisa,kama yeye alivyo 'mshamba' wa hayo mambo naona na wewe hujui chochote so usimlaumu mnafanana tabia.
dodge
Kuna watu wanatofautiana kitabia na mwenendo. Muelewe alivyo, maana unaweza ukataka mabadiliko ukakutana na hapa kazi tu na hapo ndipo utajua kwann neno barabara lina maana tofauti ukibadili usomajiNawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.
Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.
Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype
2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.
Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,
Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.
Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.
NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,
sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,
Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana ya kuukuuliza HVO sio mbaya ila kutaka kujua je na wew in mtaalamu kdgo na mjanja mjanja hata kushika mic na kupiga deki mpaka unampagawisha jamaa nae atajifunza automatically mbinu mpyaHahahahahaha pole haya mambo hayataki hasira my, mm nawaelewa SNA Ila sitak kujibu hill swali ndo maana nawazingua
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16]Nitalifanyia kazi mke wangu kuanzia leo nitaanza kuwa romantic ila ungenambia tu kulko kuja kunitangazia uku
yess BiShoo haswaaAaa
halafu wengi huwanga ni wapole but trust me these people are silent killer 🙄🙄
Huyu mama kibokoHahaha, madam unanichekesha. Umesema hapigi deki coz wewe upo, na sasa unasema akipata likizo anaenda uvinza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji39]
Basi usinge taka ushaurNawaelewa sana wanacho maanisha namm sitaki hiyo point yao kwahiyo ndo nawatoa kwenye reli huvyoo hahahahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app