Kwanini wanaume wengi wa kilokole hawapo romantic?

Kwanini wanaume wengi wa kilokole hawapo romantic?

Ikiwa kumbadilisha ni ngumu, badilika wewe. Muelewe hivyo hivyo alivyo.

Kuna wenzako wanamtafuta kama huyo. Hata mimi kuchatichati sana kuna muda naona kama kero au mambo ya vijana.
Naweza nisiwe sahihi lakini endapo huko awali ulishakua na watu romantic usitake mme wako awe kama wao.

Kwake mambo ya msingi ndio kipaumbele. Mie nilijua hakupi haki yako, kumbe anatekeleza majukum yake ipasavyo isipokua mtindo wake ndio unakutatiza? Hilo usilichukulie kama tatizo

Hii inatukumba sie tuliolelewa na kukulia katika ile imani na misingi ya hofu ya Mungu. Wala hana tatizo lolote.
Exactly
 
Madam vivian original kama unavyotamani awe unavyotaka wewe ndivyo na yeye anatamani uwe anavyotaka yeye.
Mimi sioni kama ana tatizo nachoweza kukushauri ni wewe kumwelewa na kwenda nae alivyo.
Usije kulazimisha kumbadilisha halafu akabadilika zaidi ya pale unapotamani itakuumiza
 
Nenda kaa nae mzungumze wenyewe,muweke wazi msimfiche, funguka na Kama ni mtu muelewa basi atabadilika.

Hapa jf huta pata suluhu ya hilo tatizo kamwe.
Umeongea Mkuu, sioni ni kwa sababu gani huyo mdada ameamua kuleta mambo binafsi ya chumbani hapa kwenye hadahara ya watu, humu kuna watu wana matatizo yao mengi sana, watu wana stress za maisha, hayo anayoongea wanaona kama ni chai ya rangi tu, nadhani huyo mwanamke yuko idle sana, anatakiwa apewe kazi hata ya kuponda kokoto, naamini hatapata muda tena wa kuwaza hayo mambo.
 
Nawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.

Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.

Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype


2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.

Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,

Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.

Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.

NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,

sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,

Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanatofautiana kitabia na mwenendo. Muelewe alivyo, maana unaweza ukataka mabadiliko ukakutana na hapa kazi tu na hapo ndipo utajua kwann neno barabara lina maana tofauti ukibadili usomaji
 
A moment of silence for our soon to be cuckolded brother, muda sio mrefu mtu atamangiwa mke. Nilichogundua huyo chalii yako mlikutana kanisani na alivyokuwa boya akaamini nafsi yake kuwa you were sent to him through his prayers, sasa hapa ndipo shida ilipoanza he placed you on pedestal anakuona kama madhabahu (kumbe foolishly, he was trying to domesticate a crow) anafanya mambo kizembe akiamini analinda heshima kumbe ndo anaharibu. Umezunguka mbuyu unavyoonekana umeogopa kufunguka pia huwa mnatafunana kifo cha mende tu. Huyo chalii must be ready to execute contingency plan la si hivyo ataumia muda sio mrefu akianza kumangiwa and those you perceive to be they're romantic.

I'm not against marriage but I'm contrary it's a very bad deal for men if you're not ready to compromise your own happiness. Nothing to salvage here. Sorry for my tough language but I was speaking my mind.
 
Pole my dear
Usitamani misri. Acha kujifunza uhuni wa social media, just enjoy your husband.

Uandishi wako unaonyesha ni mdada mzuri mwenye adabu zako ila umeanza kutamani usister do.

Please enjoy your life. Thank God unapata vyote. Tukikuadithia ya kwetu utatuonea huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TATIZO SIO MUMEO KUA MLOKOLE.

TATIZO NI MUMEO KUOA MWANAMKE WASOENDANA.


mlokole aoe mlokole mwenzake.


Sasa jamaa kalelewa mazingira ya "Hamna Ngono mpaka Ndoa, ..kaja KUOA mwanamke asiye bikra".

Unafikiri hapo kuna chemistry???.
 
Back
Top Bottom