Kwanini wanaume wengi wa kilokole hawapo romantic?

Shikamoo CONTROLA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mungu × Mungu√! Umesoma theology mkuu, nakukumbusha tu.

Ubarikiwe sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli nazidi kuamini mwanamke haridhiki hata umfanyie nini!!!
Na sijuwi kwanini wanafikiri ni rahisi kumbadilisha mwanaume wakati wakikumbuka ile package walioipenda iko hivyo, sasa endelea kuichokonowa hiyo package uone itakavyo kuchachaia!
Just be careful what you wish woman, yatakayokukuta utajuta...🙁😡😕
 
Wanaogopa kupata dhambi wakiwa romantic...
Nilimsikia mlokole mmoja hivi anasema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshukuru Mungu hata huyo ni best friend wako anakusikiliza
Kuna walokole wanawadunda adi wake zao na ibada inapanda kama kawa ila ndani ni paka na panya
Mbebe huyo kama alivyo as you go on kumwelewesha taratibu ipo siku ataelewa
Usiforce kumbadili asije akabadilika gafla akaanza kukutia tena mashaka na wewe ukaja hapa kuanzisha thread ingine
 
No body is perfect hapa duniani, hiyo ni kasoro yake hivyo maamuzi ni yako kumbadilisha awe unavyotaka au umkaushie.
 
Sasa ulivyo mwambia "nimekumiss mume wangu au nakupenda" ulitaka akujibuje zaidi ya hivyo? "Ahsante mke wangu nakupenda pia" mimi naona alikujibu vizuri tu sasa wewe sijui ulitaka ujibiweje zaidi ya hapo eti,
Hata mimi ukinisumbua nikiwa kazini ukianza kunitext lazma nitakuona msumbufu, "pesa kwanza mapenzi baadae", ndio nyie wenyewe pesa zikiyumba kwa mwanaume nyie nduki,
Na kuhusu tendo la ndoa mfano mimi nimetoka kazini nimechoka kupita kiasi unataka nifanyeje sasa, utatakiwa usubiri hadi siku nitakapo kuwa 4G, 🙈
 
Atakuwaje romantic wakati anasali pentekoste pengine aanze kusali Roman catholic ndio atakuwa Romantic kwasababu romantic na Roman vinaendana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…