Mi huwa nasema kuwa , laiti ingetokea hawa wanawake wanawashuhudia waume/mabwana zao
jinsi wanavyojishughulisha faragha wakiwa na nyumba ndogo,
yumkini wasingeamini kama kweli hao ni waume/mabwana zao..........
mechi za ugenini hizi,.....we acha tu
''ufundi wote na ujuzi unamwagwa huko''