Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Teh teh teh,Nlikuwa nae huyo ni hatar,Nlikua nae UDBS pale alinichezea mchezo mpk nlikuwa nackia moto afu hachok huyo ikafikia k inajamba!
usiseme sana...wengine wanachukua wala barger,teh teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh,Nlikuwa nae huyo ni hatar,Nlikua nae UDBS pale alinichezea mchezo mpk nlikuwa nackia moto afu hachok huyo ikafikia k inajamba!
Ulivyoninyanyasia shosti wangu, unafikiri nimesahau. Halafu wewe unapenda kubebembelezwa nami pia napenda bembelezwa unaona shida hiyo! In as much as natamani kuingia mwenyewe kuicheza ila kuitesekea akuu! LOL
ukiona hivyo tatizo linaweza kuwa kwako.
Basi nimejifunza kubembeleza...madam, so sweet....njoo ucheze ngoma ili upate uhondo ati...teh teh teh....Kaunga, tatizo langu mi sijui kuigiza...ndo nimeanza hiyo kozi bagamoyo chuo cha sanaa kila weekend. Eros asijari ntaanza kummbeleza
Kweli inabidi ujifunze aisee, ila si kitu ya acting zaidi ni kutoficha hisia zako tu!
Yaani kama ni ubembelezaji wa kisukuma nao can be sexy kama wakizaramo au wakispanish ingawa wako tofauti.
Kizazi cha waume wa mbegu kiliisha zamani, wasasa mauzauza tu.
Mimi naona sababu ya msingi inayofanya vijana wa sikuhizi wafifanye vizuri kitandani..nimfumo wa maisha.
Maisha yamekuwa ya presha na mawazo ya kupata ndoto kubwa. Wanawake wenyewe wanakuwa very demading ( mara anahitaji hiki mara kile) inafanya akili ya mwanamme isi tulie na kufikiria hilo jambo hivyo hufanya tu kutimiza wajibu. Ikumbwe kuwa hicho kitendo kinaongozwa na ubongo ( akili) hivyo isipotulia; performance ikakuwa chini...
Hiyo michango ya mtoa mada inakuwa nyongeza tu
Haaahaaa! Na haujavunja kifungu chochote cha katiba...ila I wonder unakutana na wanaume wa aina gani ambao hawajui kufanya yale wanayotakiwa kufanya. Jaribu sisi kuku wa kienyeji utasahau shida zote.
hapa ulikosa neno la kuandika? umepotoka mkuu na sio vizuri kutoa maneno yasiyo na staha mbele ya member humu ndani
Generation ya kuongeza uume unategemea nini...
Teh teh teh,Nlikuwa nae huyo ni hatar,Nlikua nae UDBS pale alinichezea mchezo mpk nlikuwa nackia moto afu hachok huyo ikafikia k inajamba!
Ni kweli hali hii ipo, mimi binafsi nimeishuhudia katika miaka 7 ndani ya ndoa, ni goli moja tuu, hakuna la pili wala la tatu. Jamaa mazoezi anashiriki kula sometime anakula hadi karoti za kuchemsha tuu na brocoli, lakini ngoma ni ile ile. Nahisi ni vile ambavyo wanaume wengi wanazoea wakiwa watoto vile vigoli vya kujiiba iba katika kombolela na michezo mingine, so hadi mtu anakua anakuwa na misuli hewa tuu. Akisha pata bao basi mwanamke kama ulikuwa unaanza kuja ujuwe ndo imetoka hoyoo ikirudi pancha!
Huwa sipendi watu wanaopenda kujipandisha chati wenyewe 🙂
Kuna kitu kinanishangaza sana, siku hizi wanaume wengi wamekuwa wakifurika kwa wataalam wa madawa ya asili kwa ajili ya kuweza kudumisha uwezo wao wa kitandani. Inadaiwa kuwa wanaume hao wakienda raundi moja hawawezi kurudia ile ya pili na hata wenye uwezo wa kurudia huwachukuwa muda mrefu sana, kama raundi ya kwanza iliisha saa tano usiku basi ya pili inaweza kurudiwa saa 12 asubuhi.
Tatizo kubwa ni kwamba wanaume wengi huwaandaa wake zao kwa muda mchache au hawajui kabisa jinsi ya kuwaandaa wake zao kwa ajili ya tendo la ndoa, wengi wanaparamia kama vile wanavyoparamia baiskeli, pia wanaume hao hawajui kufuata hatua za kujizuia kuweza kuwahi 'kufikisha mzigo melini' na hatimaye kuwafanya wawe wa kwanza kufikisha mzigo na kushindwa kuwaridhisha wake zao.
Inadaiwa kuwa tatizo hili linatokana na wanaume wengi kuacha kula vyakula vya asili vinavyoweza kuwafanya wawe na nguvu muda wote, pia inadaiwa kuwa wanaume wengi hawafanyi mazoezi ambayo yangeweza kuwafanya wawe vizuri kitandani.
Wengi wa wanaume wanapokwenda kwa wataalam wa madawa ya asili wanakuwa hawajui tatizo lao hasa, ndio maana wapo wanaume wanaokimbilia kwenda kukuza ukubwa wa maumbile kwa kuamini kuwa majogoo yao yakiwa makubwa wanaweza kuwaridhisha wake zao, kitu ambacho ni uongo mkubwa.
Hawajui kuwa hata kama siraha zao ni ndogo wanaweza kuwafanya wake zao watosheke kwa kuwafanyia utundu na kujua jinsi ya kujizuia ili wasiwahishe mzigo bandarini kabla ya wake zao, wanashindwa kuwafanya wake zao wawahi kufikisha mzigo kabla yao.
Tatizo hili limesababisha wanaume wengi kudharauliwa na wake zao hata ndoa nyingi kuvunjika.
hakuna kama wapo ni wachache na usipowabinua wanajibinua wenyeeeeeeeeeeeeewe mahaba ya siku hizi madoido.Hivi dunia ya sasa kuna mwanamke ambaye hataki kubinuliwa binuliwa kweli?