Sawa lakini...bado sipati definition ya mwanaume mzuri..?
Mara unakula msosi kwa kulumangia, mara unakula mchunga yaani kila unapomeza tonge unakunja sura mwisho wa siku sura inabadilika na hii ndo sababu hata kwa mademu pia unakuta wale wa ushuani wanaonekana wapo bomba lakini wale wa uswahilini wanaonekana majangaDhiki tu. Tangu mtu unabalehe unakutana na matatizo lukuki, mara kukataliwa na dem, mara kukosa pesa, mara kazi nzito. So sura inakunjamanaaa. Huwezi amaini, ukiona picha yangu wakati niko form one, nilikuwa bonge la HB ila sasa hivi, hata nikishiriki mashindano ya sura mbaya na Remmy, mimi nachukua tuzo.
I am glad to be your brother!
Sawa walansikataiI am glad to be your brother!
Pambana na ghali yako ndugu..[emoji3]
Ili mtuombe hela.Enyiwanaume kwanini wenye sura mbaya mkowengi
Enyiwanaume kwanini wenye sura mbaya mkowengi
Teh teh ikabidi umuache hewaniKuna mwaka exmwenza wangu aliniambia natamani nikubadilishe kichwa, una kichwa kibaya sana na pua zako kama unalia.
Nikamuangalia nikashindwa jibu maana muda huo kichwani majibu zaidi ya tisa yalikua yanazunguka kila moja linataka kutoka yakawa yanagongana tu huko ndani
Itakua ndo mana anataka mzuri mwenzie wanze kuringiana na kumaliziana podaWe mzuri dada?
Watu tunabadilika kutegemeana na uzi kwani si nyuma ya kibodSawa naona umeshajisahau tena
[emoji2][emoji2]Itakua ndo mana anataka mzuri mwenzie wanze kuringiana na kumaliziana poda
UNGEMUULIZA BABA YAKO KWANZA HILO SWALI KISHA UJE KWA WAJOMBA ZAKO NAO UWAULIZEEnyiwanaume kwanini wenye sura mbaya mkowengi
Sawa sawaWatu tunabadilika kutegemeana na uzi kwani si nyuma ya kibod
Naamini hakuna mwanaume mwenye sura mbaya laasivyo baba ake asingekubaliwa kumuoa mama ake ..na nahisi wewe umefanana na baba akoMLETA POST ITAKUWA UNAUMWA WAPI ULISHAWAHI KUONA MWANAUME KAKOSA KUOA KISA SURA MBAYA???