Kwanini wanaume wengi wana sura mbaya?

Kwanini wanaume wengi wana sura mbaya?

Sawa lakini...bado sipati definition ya mwanaume mzuri..?
Screenshot_20180201-085833.png
 
Hizo ni sura za kiume sio sura mbaya yaani ni sawa na simba dume lina manyoya kichwani wakati simba jike lina sura kama paka kwa muonekano (ubaya wa sura umekuja kutokana na binadamu kuwa na akili kuliko wanyama wengine na kuanza kuweka vigezo matokeo mtu anaefanana na mwanamke kwa sura anaitwa mwanamume mzuri)
 
Dhiki tu. Tangu mtu unabalehe unakutana na matatizo lukuki, mara kukataliwa na dem, mara kukosa pesa, mara kazi nzito. So sura inakunjamanaaa. Huwezi amaini, ukiona picha yangu wakati niko form one, nilikuwa bonge la HB ila sasa hivi, hata nikishiriki mashindano ya sura mbaya na Remmy, mimi nachukua tuzo.
Mara unakula msosi kwa kulumangia, mara unakula mchunga yaani kila unapomeza tonge unakunja sura mwisho wa siku sura inabadilika na hii ndo sababu hata kwa mademu pia unakuta wale wa ushuani wanaonekana wapo bomba lakini wale wa uswahilini wanaonekana majanga
 
Unataka sura za kirembo nenda saloon zao utawakuta
 
Kuna mwaka exmwenza wangu aliniambia natamani nikubadilishe kichwa, una kichwa kibaya sana na pua zako kama unalia.

Nikamuangalia nikashindwa jibu maana muda huo kichwani majibu zaidi ya tisa yalikua yanazunguka kila moja linataka kutoka yakawa yanagongana tu huko ndani
Teh teh ikabidi umuache hewani
 
MLETA POST ITAKUWA UNAUMWA WAPI ULISHAWAHI KUONA MWANAUME KAKOSA KUOA KISA SURA MBAYA???
Naamini hakuna mwanaume mwenye sura mbaya laasivyo baba ake asingekubaliwa kumuoa mama ake ..na nahisi wewe umefanana na baba ako
 
Back
Top Bottom