Kwanini wanaume wengi wana sura mbaya?

Umewaona wanangu ni tuzuri km chotara wa kisomali baba yao sasa yeleuwiiiii mdogo wake wasira
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najua humaanishi. Mimi sina uzuri wala ubaya nikimpenda nimempenda.
 
Kati ya MWANAUME na mwanamke nani Ana sura MBAYA? Jibu ni mwanamke Ndy Ana sura MBAYA.... umeshawahi kuona MAKE UP ZA KIUME? na KOPE ZA MACHO za kiume? Kama mnajiamini ni warembo MAKE UP na mawigi ya nn?
[emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419]
Nakazia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahahaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Mi sikumbuki kudate wenye sura za ancestors wao. Ila muonekano mzuri pesa na akili ndo nafanikiwaga kudanganyana nao. Unaweza kuwa na sura ya Wasirra ila swagga za Jk lazima mwanamke akupende tu.
Kigezo nambari wani tu mi iz sura ya kiume maana hata nyee hushuka kwa speed Kali kina cute boy hawanisisimui kabisaaa km yule wa mama Sabrina yani ngoma hainyevuki hata kidogo
 
 
Umewaona wanangu ni tuzuri km chotara wa kisomali baba yao sasa yeleuwiiiii mdogo wake wasira
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…