Mwenyewe napenda sura ya kiume hata akiwa handsome ila kukiwa na ile uanaume nadata. Yule mimi kwa kweli namuona mzuri tu ila hawezi nivutia hata kidogo. Yani mimi yule mwanaume ambae ni mzuri kila mtu anamuona mzuri hawezi kunidatisha.Kigezo nambari wani tu mi iz sura ya kiume maana hata nyee hushuka kwa speed Kali kina cute boy hawanisisimui kabisaaa km yule wa mama Sabrina yani ngoma hainyevuki hata kidogo
Tupo kwenye mstari mmoja basiMwenyewe napenda sura ya kiume hata akiwa handsome ila kukiwa na ile uanaume nadata. Yule mimi kwa kweli namuona mzuri tu ila hawezi nivutia hata kidogo. Yani mimi yule mwanaume ambae ni mzuri kila mtu anamuona mzuri hawezi kunidatisha.
Mi sijui mwanaume anapenda selfie mara akipiga picha kabinua midomo jamani hata kama nilikua namtamani naishia hapo hapo. Au mara kapaka lipshine inetokelezea. Akipiga picha anarembua ili aonyeshe watu uhandsome wake mfyuu. Ndo maana napendaga hata wanaume wenye kazi ngumu kama footballers, wanajeshi. Japo sijawahi kudate mwanajeshi ila nawaelewa sana.Tupo kwenye mstari mmoja basi
Kwakweli hela zako baki nazo tu na uzuri wakoKhaaa, hata nikiwa na hela?!
Ngoja waje wanaopenda masela na wahuni
Mwanaume pesa+mashine
Hyo sio MWANAUME.. Ni shoga.. Hapa tu nazungumzia wanaume kamiliView attachment 688146 huyu hapaa
Kuna sehemu sky kasema raha ya dume akupende hata pua yake ikiwa km mouse na mimi niko hivyo wanaume sura mbaya na awe na kibamia chake makini heheheheheeeee [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mi sijui mwanaume anapenda selfie mara akipiga picha kabinua midomo jamani hata kama nilikua namtamani naishia hapo hapo. Au mara kapaka lipshine inetokelezea. Akipiga picha anarembua ili aonyeshe watu uhandsome wake mfyuu. Ndo maana napendaga hata wanaume wenye kazi ngumu kama footballers, wanajeshi. Japo sijawahi kudate mwanajeshi ila nawaelewa sana.
hahaha mnataka povu nyie eeeh![emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419]
Nakazia
kuwaelewa hawa watu uwe na IQ za wanawake wote duniani uzijumlishe ndo utaelewa [emoji23][emoji28][emoji23]Sura ya Wasira, swaga za JK.[emoji15] [emoji15] [emoji15]
aiseeeMwenyewe napenda sura ya kiume hata akiwa handsome ila kukiwa na ile uanaume nadata. Yule mimi kwa kweli namuona mzuri tu ila hawezi nivutia hata kidogo. Yani mimi yule mwanaume ambae ni mzuri kila mtu anamuona mzuri hawezi kunidatisha.
Mimi mwanaume suruali wala sina shida, nawachora tu hapa.kuwaelewa hawa watu uwe na IQ za wanawake wote duniani uzijumlishe ndo utaelewa [emoji23][emoji28][emoji23]
usishangae chief we kubali tu hahaha
[emoji23][emoji28][emoji23]Mimi mwanaume suruali wala suna shida, nawachora tu hapa.
Ngoja nimwagilie bamia zangu hapa ziweze kumea vizuri[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipe namba zako nikutumie laki moja unywe sodaMe nawapenda hao wanaume wa sura mbaya sura za kiume
Uwiiiii umejua kutukomesha mwanawane hahahahKati ya MWANAUME na mwanamke nani Ana sura MBAYA? Jibu ni mwanamke Ndy Ana sura MBAYA.... umeshawahi kuona MAKE UP ZA KIUME? na KOPE ZA MACHO za kiume? Kama mnajiamini ni warembo MAKE UP na mawigi ya nn?
Lohhhh na kweli mkuu joti akikaa kwenye dressingtable akitoka hapo ni hatari jamaniHuoni hata joti akijiremba anawazidi uzuri wanawake wengi tu.
Tunatuma no na hela haitumwi asante mkuuNipe namba zako nikutumie laki moja unywe soda