Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ndio inavyokuaga hivyoHahahahaa.. akimix na baba anatoka mzuri. Ila wanaume tunaoamini wabaya wakizaa na wadada wazuri huwa mtoto anakuaga mzuri sana. Ila wazuri kwa wazuri mtoto anakuaga kawaida tu.