Kwanini wanawake hamna huruma?

Asante sana mkuu, hakika kufunguka kumenisaidia nimetoka na madini ya kutosha leo
 
Kwangu wanapiga 35-40kg kwa mwezi lakini kwa rafiki yangu (baba Alice) ananiambia 50kg zinafika hadi miezi mitatu na ukubwa wa familia kama sawa.
 
Tunapoishi ni mbali kabisa na familia zetu labda kama anagawa kwa mashoga zake na kwa majirani zangu sina shaka nao sababu ya life style zao. Lakini nisitoe majibu mapema nitalifanyia kazi pia
 
Hayo ndiyo maisha niliyokulia mimi, nilitaka kukata tamaa na kujihisi labda mimi nna mawazo ya kimasikini ndomana naumia lakini nimepata nguvu mpya. Shukran
 
Umezungumza vyema kaka
 
Nyie vijana bwana, hii slogan yenu ya "tafuta pesa" nani kawafundisha? Fikirisha ubongo wako mkuu, elewa alichoandika ndio utoe hoja, au huna majukumu mzee?
Mwandishi ndo kijana kama sio mtoto, ameshindwa kutiisha familia yake anatafuta faraja jamvini….. umri sio miaka.
 
Mwanamke asiye jielewa hufanya hivi .lakin kwa ushauri kaa na mke wako muambie hiyo tabia huipendi ya kumwagwa chakula. Kuna wakat mnaeza kukosa hiko chakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…