Kwanini Wanawake huona Aibu Kuvua Nguo za Ndani wawapo Faragha, ila wakiwa Wanazinunua Mitumbani hawaoni Aibu?

Palee sio kuvua wao wenyewe mkiwa faragha inatakiwa umlie taimingi na umvue wewe

Wao wenyewe wanafundishana kuwa mwanaume usimvulie chupi yaani unatakiwa uvue vyote ubaki na chupi na sidiria wajibu wa chupi na sidiria ni wa mwanaume yeye mwenyewe

Sasa hapo kwenye taimingi ukikosea kumshawishi umvue chupi na sidiria ndio utaona show ngumu

Maisha bado magumu sana jamani
 
So kwa mstari huo ni kusema unataka kudhihirisha yale maneno kwamba ukiokota mwanamke mkaingia ndani akavua suruali,skin tight na chupi vyote kwa pamoja huyo vaa hata condom's tano maana amepitia mengi?
 
Huowajibu Umenukuuu kutoka wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…