Kwanini wanawake mkishaolewa mnakua rafu sana?

Kwanini wanawake mkishaolewa mnakua rafu sana?

jjs2017

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
2,025
Reaction score
4,276
Sina hata haja ya kusalimia,

Kama kichwa cha habari kinavyo sema, naombeni mueleze wazi kabisa kwanini nyie wanawake mkisha olewa mnajisahau na badala yake mnakua rafu sana? Kila saa makanga kila mahali mara sijui malapa hata uletewe vitu vya kujipendezesha na nguo za ujanani mnabaki kusema tu Asante na kuzitunza kabatini. Kwani kabati ndio inavaa?

Yaani ukisikia twende huku wewe unaona makanga tuu, asubuhi, mchana na jioni makanga tuu. Kwa kweli mnakera sana badilikeni wanawake wote mlioolewa yale mavazi na urembo mliokua mnayavaa ujanani na huku ndani tunataka tu yaone.
 
Mwanamke anapoolewa majukumu yanakuwa mengi zaidi, atunze mazingira, nyumba, watoto, mume na ndugu wa mume.

Aangalie mifugo mpaka anakosa muda wa kujiangalia mwenyewe. Wakati huo huo kuna muda wanaume hawatoi hela ya matunzo kwa wake zao.

Pia ni suala la kuridhika na kujiachia
 
Ushaambiwa "Mpaka kifo kitakapowatenganisha"
hata ungekua wewe ungekua rafu[emoji23]

kupendeza kule ilikua hajafikia lengo!!
Wake za muslims hawajiachii maana wanajua muda wote unashushwa Ground floor
 
Wanawake tukiachana na kuzidiwa na majukumu yao ni watu wa kufanya makusudi sana wakijinasibu kuwa ndio lugha yao ya mapenzi.

Wanavijitabia vingi sana vya kukera ambavyo huwa wanavifanya kwa makusudi ili kukupima utawafanya nini. Huwa inakera sana especially kwa watu ambao mshaingia katika mahusiano serious na hata ndoa.

Kunatabia mfano kukaa mbali na simu yaani unapiga simu itaitaa weeee hadi mtu unaamua kupigia jirani aende amwambie apokee simu unamtafuta....

Kunatabia ya kuacha nyumba katika mazingira yasiyo ya usafi mfano wameacha vyombo hapo mezani hakuna usafi unafanyika yaani nyumba inakuwa sio safi hadi mtu kuleta mgeni home ni hadi upige simu utoe maagizo....

Kwahiyo hata hii ni miongoni mwa tabia mbaya ambapo unakuta binti anajiweka rough kwa makusudi hadi akusukume uanze kutafuta wanawake wasafi huko nje aaanze kulialia...
 
Mwanamke anapoolewa majukumu yanakuwa mengi zaidi, atunze mazingira, nyumba, watoto, mume na ndugu wa mume.
Aangalie mifugo mpaka anakosa muda wa kujiangalia mwenyewe.
Wakati huo huo kuna muda wanaume hawatoi hela ya matunzo kwa wake zao.
Pia ni suala la kuridhika na kujiachia
Unazungumzia mama zetu au hawa wanawake tunaokutana nao sisi!!
 
Ongea na mkeo mwelekeze namna unavyopenda awe smart, msafi, na aende na wakati

Sio wanawake wote wanaokua rafu, mnunulie mkeo mapigo yatakayomfanya aonekane wa kisasa, kama vile nguo za kisasa, perfumea nzuri, mpeleke saluni atengenezwe nywele zake vizuri bila kusahau uhakikishe anapata mahitaji yake ya msingi, mpende na umfanye afurahie maisha ili asizeeke mapema

Nakuhakikishia hutajuta tena utakua unatamani kwenda nae kila mahali ili watu waone ulivyo na mke kifaa
 
Wakati hauja-muoa, alikuwa anatokea kwao anakuja kukutana na wewe.

Kwahiyo kama kwao alikuwa anashindia kanga, na hizo vingine umesema, lakini akipata safari ya kuja kuonana na wewe ni lazima aoge ajiweke safi ili aje akutane na wewe. (Hii ni kawaida, ukitaka kuamini mwambie leo tunaenda mahali uone atakavyovaa).

Vile anakuja amependeza haimaanishi na nyumbani anakuwa hivyo hivo. Ni vile umezoea kumwona akiwa kwenye nguo za kutokea (wakati anakujakuonana na wewe). Lakini sasa yupo nyumbani unamuona 24/7. Anahitaji nguo zinazomfanya awe huru ili kazi za nyumbani ziende.

Ushauri.
Mtafutie msaidizi wa kazi za nyumbani, umwambie ukiamka wewe oga, vaa pendeza kama ulivyokuwa unapendeza.
 
Sasa mtu akiwa home avae nini jamani,avae high heels na vimini, nguo zisizompa uhuru na huku ananyonyesha labda, kazi zinamsubiri kupika,kufua nk?, aah jamani msicomplicate maisha sana bana.

Ila kama hadi mkipanga kwenda out anakua rafu hivo hivo, kweli hiyo mbaya ila kama ni home tu ah mi napiga mibwanga yangu na malapa basi nakua huruu.
 
Ongea na mkeo mwelekeze namna unavyopenda awe smart, msafi, na aende na wakati

Sio wanawake wote wanaokua rafu, mnunulie mkeo mapigo yatakayomfanya aonekane wa kisasa, kama vile nguo za kisasa, perfumea nzuri, mpeleke saluni atengenezwe nywele zake vizuri bila kusahau uhakikishe anapata mahitaji yake ya msingi, mpende na umfanye afurahie maisha ili asizeeke mapema

Nakuhakikishia hutajuta tena utakua unatamani kwenda nae kila mahali ili watu waone ulivyo na mke kifaa
Kwakweli kwa huyu sijui ni laana , nguo za kisasa na mnunulia za kutosha tena naenda nae achague mwenyewe kabisa asije sema hajazipenda , Cha kushangaza anazipanga tuu kabatini kwa kweli, nywele kila muda na mpa Ela za kusuka Ila kusuka hasuki ni yeye na mabutu tuu , pafyum anazo za kutosha , mafuta ya kila Aina na viatu vya kila Aina, isitoshe kila kitu na mpatia bt ndio hivyo jamani.. mm nimeongeanae awe Kama ni navyo taka but anaitika na kuomba MSAMAHA Kama ananikosea kua rafu na kuahidi atabadilika Ila mpaka Sasa hakuna mabadiliko yeyote, naombeni ushauri wa kina jamani ,
 
Hizi mambo za kujipenda nazo ni kama hobby ikiwa sio hobby yko unajionea tabu tu

Mi naon mwelew ndivyo alivyo wako wanawake hvo ulivyosema hawan ving na vyenye ubora ila bado ni weny kupendeza

Kujipenda ni kama asili huwez kumfunza mtu ukubwan
 
Wakati hauja-muoa, alikuwa anatokea kwao anakuja kukutana na wewe.

Kwahiyo kama kwao alikuwa anashindia kanga, na hizo vingine umesema, lakini akipata safari ya kuja kuonana na wewe ni lazima aoge ajiweke safi ili aje akutane na wewe. (Hii ni kawaida, ukitaka kuamini mwambie leo tunaenda mahali uone atakavyovaa).

Vile anakuja amependeza haimaanishi na nyumbani anakuwa hivyo hivo. Ni vile umezoea kumwona akiwa kwenye nguo za kutokea (wakati anakujakuonana na wewe). Lakini sasa yupo nyumbani unamuona 24/7. Anahitaji nguo zinazomfanya awe huru ili kazi za nyumbani ziende.

Ushauri.
Mtafutie msaidizi wa kazi za nyumbani, umwambie ukiamka wewe oga, vaa pendeza kama ulivyokuwa unapendeza.

Nikupe hela, Nikulishe, nikuvishe, nikufikishe kileleni, nikupe sehemu ya kukaa, na bado msaidizi wa kazi za nyumbani nikutaftie, papuchi unipe kwa masharti,sasa kwenye mahusiano mm nafaidika nn, wanawake mna kichaa Paula Paul
 
Alafu sijui huwa inakuaje aisee, na mimi ilinikuta hiyo baada tuu ya ndoa jamani after 6 months hadi ofisi wakawa wananisema, alafu cha ajbu me nilikuwa najiona niko kawaida tu, kumbe doh nilivyoona maneno yamezidi nikaanza kujitafakari nikajiangalia kwa jicho la pili toba nikaja kuona kweli hata nguo nnazovaa ofisini ni majanga, nyumbani ndo kabisaa nikasema uuuwi nabadilika, na kweli nikabadilika na mpaka sasa huwa najiuliza ilikuaje nikajiachia vile yani mpaka mme wangu nilikuwa naona ananiangalia jicho la kujiuliza japo hasemi mana yy huwa si muongeaji na siku nilipobadilika nikaanza kuweka mapigo kama zamani alitamka neno AFADHALI
 
Kwakweli kwa huyu sijui ni laana , nguo za kisasa na mnunulia za kutosha tena naenda nae achague mwenyewe kabisa asije sema hajazipenda , Cha kushangaza anazipanga tuu kabatini kwa kweli, nywele kila muda na mpa Ela za kusuka Ila kusuka hasuki ni yeye na mabutu tuu , pafyum anazo za kutosha , mafuta ya kila Aina na viatu vya kila Aina , isitoshe kila kitu na mpatia bt ndio hivyo jamani.. mm nimeongeanae awe Kama ni navyo taka but anaitika na kuomba MSAMAHA Kama ananikosea kua rafu na kuahidi atabadilika Ila mpaka Sasa hakuna mabadiliko yeyote, naombeni ushauri wa kina jamani ,
Penye miti hapana wajenzi

Kubali yaishe
 
Kwakweli kwa huyu sijui ni laana , nguo za kisasa na mnunulia za kutosha tena naenda nae achague mwenyewe kabisa asije sema hajazipenda , Cha kushangaza anazipanga tuu kabatini kwa kweli, nywele kila muda na mpa Ela za kusuka Ila kusuka hasuki ni yeye na mabutu tuu , pafyum anazo za kutosha , mafuta ya kila Aina na viatu vya kila Aina , isitoshe kila kitu na mpatia bt ndio hivyo jamani.. mm nimeongeanae awe Kama ni navyo taka but anaitika na kuomba MSAMAHA Kama ananikosea kua rafu na kuahidi atabadilika Ila mpaka Sasa hakuna mabadiliko yeyote, naombeni ushauri wa kina jamani ,
Pole sana, jaribu kumtoa out, mpeleke viwanja vyenye watoto wakali, wamepiga pigo za maana, fanya hivyo mara kwa mara labda akiona wanawake wenzie walivyovaa na wanavyovutia atabadilika maana atajiona kapitwa na wakati
Asipobadiika hapo basi hatokaa abadilike
 
Back
Top Bottom