yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,385
Wazee wenzangu,
Ukiwa na mchumba na umesha mvika pete ongeza umakini zaidi ya awali, wengi wanakuwa wapole sanaa balaaa ukisha muoa yani inakuwa ni kama vita ya jihad.
sijui kwanini inakuwa hivyo.
Ila kwa wale mnaoitana wachumba na hata pete mjavikwa nasema mnafanya umalaya acheni mara mojaaaa
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Ukiwa na mchumba na umesha mvika pete ongeza umakini zaidi ya awali, wengi wanakuwa wapole sanaa balaaa ukisha muoa yani inakuwa ni kama vita ya jihad.
sijui kwanini inakuwa hivyo.
Ila kwa wale mnaoitana wachumba na hata pete mjavikwa nasema mnafanya umalaya acheni mara mojaaaa
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣