Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
KWANINI AFANYE HIVYO ILI? WEWE NDO UNAIAMBIA AKILI YAKO IWAZE KUWA WANACHUKUA ADV KITU HICHO KINAKUSUKUMA KUJENGA HASIRASawa, naweza kukubaliana na wewe ktk hili. But let's be honest here... hivi kweli hakuna wanao take advantage ya kuwa wajawazito na kupenyeza agenda zao to look like pregnancy outcomes?!
Wapo wanazidisha kuna wengine ukute alikua ana mchukia mtu ndo atatumia huo mda kuonyesha chuki hata uki mumind asingizie mimba. Wengine hutumia vibayaSawa, naweza kukubaliana na wewe ktk hili. But let's be honest here... hivi kweli hakuna wanao take advantage ya kuwa wajawazito na kupenyeza agenda zao to look like pregnancy outcomes?!
Akikorofishana na watu hasira analeta kwangu.wako anafanyaje mkuu mm nimejichimbia moshi uku sitaman kurudi jana usiku anasumbua balaa
yeye wewe uliyekatikia tumboni kwake ndo msumbufu na ujue ulimsumbua mamako kwa kiwango cha phdwako anafanyaje mkuu mm nimejichimbia moshi uku sitaman kurudi jana usiku anasumbua balaa
daaa hawa viumbe Wana laanaMimi yake Ina wiki sita now, papuchi nanyimwa, ukiwa out na home ukikpigia simu hapokei, wageni wakija tukiwa tutaongea mimi nikichangia chochote ananipinga, Mara chips mishikaki ooh Mara nataka kitimoto, dah kama ndio mimba hizi kazi ipo
Leo umehamua!Yeah au soksi anainusa tu kuibeba kwa pochi si mchezo
Ah! We Mulhat acha habari zako bhana... wapo wanao - take advantage-- yaani full kudeka na kutaka vyuku eti kisa mimba!!KWANINI AFANYE HIVYO ILI? WEWE NDO UNAIAMBIA AKILI YAKO IWAZE KUWA WANACHUKUA ADV KITU HICHO KINAKUSUKUMA KUJENGA HASIRA
HAHAHA JEMBE LANGU HALITAKI NYAMA ANATAKA MAHINDI HAHAHA (MAINI KUKU MAYAI HAPA DUNIANI IMEBIDI NIWE MFUGAJI KWA BIBI YAKE KUNA BANDA LAO ASEE) MAANA KUNA WAKATI ANAWEKA KAMGOMO BARIDI KUTAKA KUKU NA THOTHEJIAh! We Mulhat acha habari zako bhana... wapo wanao - take advantage-- yaani full kudeka na kutaka vyuku eti kisa mimba!!
Heri yako umekuwa honest manake Mulhat Mpunga anadai hakuna kujifanyisha but ALWAYS wanakuwa real!Wapo wanazidisha kuna wengine ukute alikua ana mchukia mtu ndo atatumia huo mda kuonyesha chuki hata uki mumind asingizie mimba. Wengine hutumia vibaya
Ukiona mwanamke anakupenda akiwa mjamzito hatak utoke huyo mtoto akizaliwa lazima afanane na wewe haswaa wewe Fanya anavyotaka tuu Kama n mimba changa vumilia mtoto atengenezwe ikifika uko mbelen akusumbui tenamimi nimechoka na Hali ya wife yaan ana mimba ya miezi 2 now. daa yaani nyumba imekua kero mara leo nataka kuku wa kienyeji, mara mbuzi, mara nisiende kazini anataka tuu tukae nae home ila hataki kabisa tushiriki tendo la utam nimechoka sasa upepo wake umehamia kwenye supu na machungwa.. nimechoka imebd nisafiri nitulize mawazo.. hivi ni Hali au samtime wanafanya maksudi?
SIJADAI AISEEHeri yako umekuwa honest manake Mulhat Mpunga anadai hakuna kujifanyisha but ALWAYS wanakuwa real!
Mi WiFi yangu ni prego na hasumbui yuko normal kabisa had nampenda she is always happy hakasiriki I wish wanawake wote wangekuwa hivoHeri yako umekuwa honest manake Mulhat Mpunga anadai hakuna kujifanyisha but ALWAYS wanakuwa real!