Kwanini wanawake na wasichana wanapenda sana kutoboa pua na kuvaa vipini siku hizi?

Umejiunga jamiiforums Apr 2020 ,inaonekana una taarifa chache Sana kwenye ubongo wako....au labda una ugonjwa wa kusaha sahau ina maana hata movie hujawah angalia ,utakua unaishi Kama kisiwa
 
Kwani wameanza sikuhizi? Mbona tangu zamani walikuwa wanatoboa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…