Kwanini wanawake ni bahili sana?

😂😂😂 khaaa huyo sio bahili ni mjinga umepata mpenzi tahira pole mwamba
 
Kiufupi ni ndege wangu mkuu hamna haja ya manati
 
Hebu tuma picha yake mkuu tuone kichwa sina haja nacho tuma kuanzia shingoni kwenda chini kuna kitu ntakwambia 🤣🤣🤣
Sikaki uniaminishe wala kuniaminisha chochote mkuu, anonymity kati yetu ibakie kuwa ivoivo unless unanijua maana humu wengi wananijua sababu ID nayotumia kwenye biashara ndo natumia kukujibu apa.

Kiufupi ni pisi Grade A isipokua ubahili tu ndo unaipunguzia maksi
 
labda huyo wako mzee usijumuishe wanawake wote, maana kuna wanaume bakhili vile vile..!! Hizo ni tabia tu za mtu hazina muunganiko wa moja kwa moja na jinsia..!!
Acheni ubahili, kuna mmoja nmewahi kuwa nae huyo anakwambia hawezi kumnunulia mwanaume chochote kwa sababu yeye ni mwanamke.!!
 
Labda awe kamranda sana baba ake ila mwanamke yeyote mrembo anataka hela, kama kakupenda atapunguza invoice tu, ila kumtunza ni 22/7=3.14= ♊️= Pie 😂
 
Sema na ww Kauzu Mzee
Mkuu, huyo dada ni mfanyakazi serikalini na mjasiriamali pia na nilifanya makusudi ili nichanganue baadhi ya mambo.!!

Sasa kwa situation kama hiyo ikitokea nikamuoa huko kwenye ndoa itakuaje sababu nishagundua tayari ni type ya wale wanawake wanaoona pesa zao chungu ila za wanaume ndo tamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…