Kwanini wanawake ni bahili sana?

Kwanini wanawake ni bahili sana?

Ulikuwa na mpango wa kula asali kweli wewe, kitendo tu cha kuahirisha kuonana nae siku kafika ni tatizo la kwanza, usifanye tena hilo kosa utakuja kula makombo kesho yake mzee, hutakuta hata chembe ya genye, mwanamke mwenye genye ana raha yake bwana, piga hata lisaa sepa kaendelee na kulijenga Taifa uko bize kumtathimini bibie kwamba hajala ila unajua na wewe ulilala njaa pia?!Mzigo umetoka mkoani we unabung’aa bung’aa tu eti uko bize, shukuru Mungu kama haku scroll simu yake kukutafutia mbadala, ukute hiyo laki na 50 imetoka kwa mwanaume mwenzako.😀, acha tu hawa wanawake watupende sisi wazee.
Kweli ndo maana we ni mzee kama akili zako.
 
Sikaki uniaminishe wala kuniaminisha chochote mkuu, anonymity kati yetu ibakie kuwa ivoivo unless unanijua maana humu wengi wananijua sababu ID nayotumia kwenye biashara ndo natumia kukujibu apa.

Kiufupi ni pisi Grade A isipokua ubahili tu ndo unaipunguzia maksi
Sawa mkuu mimi nilikuwa nikifanya tu utani zaidi wajua tena JF sometimes tunachangamshana,, kama ni kweli mkuu kuna pahala flani ulilegeza na kumdekeza sana na ndio maana she act like that, mwanamke aliyekua akili anakuelewa fasta na kujisoti especially wale mnaofanana lengo katika mahusiamo yenu, lakini mkuu kama mpenzi wako ametoka mbali kwa ajili yako onyesha basi kujali, tafuta muda ukamuone hata kama ni dk 15 kaa nae kdg, hakikisha alipofikia usalama wake na concern nyingine ndogo ndogo, kumbatianeni mkiss kdg, mweleze umebanwa na mitikasi hakuna namna utaweza kuacha, endelea kumpigia simu kdg kdg kujua status yake.Imaisha hiyo sasa wewe unatreat mpenzi wako kama robot😀
 
Sawa mkuu mimi nilikuwa nikifanya tu utani zaidi wajua tena JF sometimes tunachangamshana,, kama ni kweli mkuu kuna pahala flani ulilegeza na kumdekeza sana na ndio maana she act like that, mwanamke aliyekua akili anakuelewa fasta na kujisoti especially wale mnaofanana lengo katika mahusiamo yenu, lakini mkuu kama mpenzi wako ametoka mbali kwa ajili yako onyesha basi kujali, tafuta muda ukamuone hata kama ni dk 15 kaa nae kdg, hakikisha alipofikia usalama wake na concern nyingine ndogo ndogo, kumbatianeni mkiss kdg, mweleze umebanwa na mitikasi hakuna namna utaweza kuacha, endelea kumpigia simu kdg kdg kujua status yake.Imaisha hiyo sasa wewe unatreat mpenzi wako kama robot😀
Mkuu una uhakika ukimtreat ivo mpenzi wako hamtoachana mpaka kifo sio? Sijisifii but am sure mimi ni mzoefu sana wa ayo mambo kuliko wewe na hayako ivo unavofikiria.

Iyo Gender haieleweki na haiitaji huruma hata kidogo, ukicheka nayo kidogo tu unavuna mabua.!!
 
Mkuu una uhakika ukimtreat ivo mpenzi wako hamtoachana mpaka kifo sio? Sijisifii but am sure mimi ni mzoefu sana wa ayo mambo kuliko wewe na hayako ivo unavofikiria.

Iyo Gender haieleweki na haiitaji huruma hata kidogo, ukicheka nayo kidogo tu unavuna mabua.!!
Naona kabisa signs zote za kiwango cha juu kbs cha selfishness, na hii ni saratani mpya ya kizazi chenu, nina wadogo zangu wengi sana wako kama wewe, uko kwenye ndoa?, kama bado subiri kdg, ndoa nyingi zina matatizo au kuvunjika kwa kasi siku hizi, one of a big reason ni mtu kujiona yeye ndo mwenye stahiki zaidi na sauti ya juu lwenye mahusiano ya biniadam wawili.
 
Ulipanga vipi miadi ya kuonana wakati upo busy??
Uliruhusu vipi aje wakat Huna pesa za kumhudumia??
You're still a boy!!
Hata kama ulipata emergency kuja kwake ni jukumu lako kwa kila kitu atatakiwa kutumia ya kwake kwa dharula tu..
Ila watoto wa buku 2 mna matatizo sana
 
Back
Top Bottom