Kwanini Wanawake siku hizi wanaenda sana gym, mazoezi na kuogelea?

Kwanini Wanawake siku hizi wanaenda sana gym, mazoezi na kuogelea?

Healthy living style, pia wadada wengi walio katika umri wa kutafuta mtoto wanashauriwa wapunguze mafuta mwilini, mafunta yakiwa mengi yanachelewesha uwezo wa kuconsive.
 
Ni katika juhudi za kutunza afya zao ili kuiweka miili yao katika afya njema ili kusogeza life span.
 
Back
Top Bottom