Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi kiukweli sifahamu hebu nieleze ni kwa nini wanamuita hivo?Mkuuu mtandaoni umeingi mwezi huu tu au?
Hili ndio kubwa, wanawake Mungu atusaidie sana.Ni wivu tu
hata mimi kiukweli sifahamu hebu nieleze ni kwa nini wanamuita hivo?
duuh ahsantekuna mchezo uliitwa bibi bomba walishindanishwa wazee sasa mmoja alikuwa anajiita bi tukinao ndio jina lilipoanzia
duuuh!!! kama utakuwa mwanaume unatuaibisha wanaume wenzio jamaaEtieeee?
Ok, Sasa nshaelewa maana ya TukinaoNdio maana nikaambatanisha na link ya huo uzi
Pitia comments za mwanzo kabisa kuna majibu
Kivpduuuh!!! kama utakuwa mwanaume unatuaibisha wanaume wenzio jamaa
HapanaMkuuu mtandaoni umeingi mwezi huu tu au?
Tena wakike.Ni wivu tu
Wanawake tuna wivu sana sometimes uskute wanaomuita hivo hawamfikii kwa chochote hata dhambi amewazidiHalo JF celebrities.
Nimekuwa nikiona mitandaoni, Zari The Boss Lady akiitwa Bi Tukinao! Wanaomwita hivyo ni wanawake. Sasa hili jina maana yake nini na kwanini kabatizwa hivyo?
Wivu na chuki baba yao mmoja ?Wanawake tuna wivu sana sometimes uskute wanaomuita hivo hawamfikii kwa chochote hata dhambi amewazidi
Acha uvivu basi yaani umetafuniwa kila kitu kuingia tu hapo usome upate majibu unaona kaziSasa kwanini wanamwita hivyo?
NishaingiaAcha uvivu basi yaani umetafuniwa kila kitu kuingia tu hapo usome upate majibu unaona kazi
Huhu[emoji16][emoji16][emoji28]Wanawake ndio huishi hivyo, ni ngumu sana kupendana.
Mange anadai yeye ni mrembo kuliko Zari, sasa ukimbishia anamtukana Zari.