Kwanini wanawake wakishikwa maziwa yanakuwa makubwa lakini wakishikwa makalio hayawi makubwa?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Wakuu,

Kwanini wanawake wakishikwashikwa maziwa yao yanakuwa makubwa na mengine yanalala kabisa lakini wakati huo huo ukiwashika makalio hayawi makubwa?

Kwa maana ukichukulia kigezo cha sensitive bado makalio ni sensitive part kuliko sehemu nyingine yoyote ile ya mwanamke na ndio maana baadhi ya shule wamepiga marufuku kupiga wanawake bakora za makalio kwasababu wanawake sehemu hiyo ipo very sensitive ukigusa kidogo tu unaibua hisia za mapenzi.
 
hahahahahahahahah yaaani ukitoa mada zako me nafurai sana

yaaan najiulizaga unafikiria nini mpk unaandika vitu kama ivyo duuuh umetisha

vyuo vimefunguliwa kama unasoma udsm kuwa makini usije pata misupp tena uje kulia lia
Nikipewa ban huwa unajiskiaje?
 
ebwana naona magreyti sinka mnautendea kazi uzi vizuri!
mm nawacheki tu uku na gain taratiiibu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…