Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #41
Yawe maziwa yawe matiti,yawe manyonyo kikubwa ni ujumbe , as long as ujumbe umeeleweka basi hakuna tatizoHivi ni "maziwa"au MATITI????nimeuliza tu jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawe maziwa yawe matiti,yawe manyonyo kikubwa ni ujumbe , as long as ujumbe umeeleweka basi hakuna tatizoHivi ni "maziwa"au MATITI????nimeuliza tu jamani
yamedondoka = yamelalaMaziwa makubwa au madogo no maumbile ya MTU muache kudanganyana kuna watu hawajawahi kushikwa na yamedondoka na kuna wengine kila Siku ynavutwa lakini yamesimama dede
Nisamehe sana kiongozi...Umefata nini sasa huku ?
Ulidhani tunagawa pipi na maandazi?
Good attemptBecause of mammary glands while buttock doesn't have.
sio kweli labda huyo ni Alien si binadamu wa kawaidaKilasiku yanashikwa lakini yapo dede
Kama vile Ndivyo inavyostahili kutamka, lakini kwani yataamka?yamedondoka = yamelala
Watu wa karibu kuwauliza ni dada zako au mama yako. No offence!Wakuu kwa nini wanawake wakishikwa shikwa maziwa yao yanakuwa makubwa na mengine yanadondoka kabisa yanakuwa kama ndala lakini wakati huo huo ukiwashika matakoo hayawi makubwa
Kwa maana ukichukulia kigezo cha sensitive bado makalio ni sensitive part kuliko sehemu nyingine yoyote ile ya mwanamke na ndio maana baadhi ya shule wamepiga marufuku kupiga wanawake bakora za matakoni kwa sababu wanawake sehemu hiyo ipo very sensitive ukigusa kidogo tu unaibua hisia za mapenzi
Kuwa na adabu
Umeolewa?Aah povu lote hilo
Mkuu baada ya kupigwa ban umeamua kuifungua ID nyingine ili utukane watu?Watu wa karibu kuwauliza ni dada zako au mama yako. No offence!
Shule mnafungua lini?Mkuu naomba nitafutie manzi namimi nifanye jaribio
Yanadondoka?Uongo wangu nini?
Umetokea shimoni wewe?
Kwani ni kitu kigeni hiki kusikia kwamba mwanamke anayeshikwa shikwa maziwa maziwa yanakuwa makubwa na yakishikwa zaidi yanadondoka?
Endelea kubishasio kweli labda huyo ni Alien si binadamu wa kawaida
Mwambie huyoHakuna ushahidi wa kisayansi kuwa wanawake wakishikwa matiti yanakuwa makubwa ila ni dhana tu iliojengeka ktk jamii ktk rika fulani.