vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,624
Mwanaume anajifunza kupika 🙂
Ndo mana wanaleft
Ukoina wame left si wamesha jua kupika.
Nitafurahi sana mpnz, napenda sana kujifunza kupika pikaKuna group ngoja nicheki kama nitaweza kukupa link yake, ni mapishi tu no story.
Tunaomba link plsKaribia groupun kwetu fully kupika na sheria kuzingatiwa hakuruhusiw kuchat huko zaid ya kupik tu
Ni add basi mpnz nijifunze vitu vipya nimkaangie baby wanguKaribia groupun kwetu fully kupika na sheria kuzingatiwa hakuruhusiw kuchat huko zaid ya kupik tu
Naomba link nijiungeKuna group ngoja nicheki kama nitaweza kukupa link yake, ni mapishi tu no story.
Halina link unatoa namba wanakuaddTunaomba link pls
Nipatie namb yako pm my nikuaddNi add basi mpnz nijifunze vitu vipya nimkaangie baby wangu
Anaetak kuadiwa anipe namb pm nimuaddNi add plsss