TheOnlySurvivor
Senior Member
- Oct 7, 2019
- 109
- 277
Kuna jamaa , bosi wangu alinambia kitu ambacho huwa nakifanyia kaz kwa umakin sana.Alisema , as long as u have turned 30 's usichukulie poa badiliko lolote la kiafya unapolihis mwilin.Nenda hospital kujua tatizo na upate matibabuInaweza kuwa ni sababu mojawapo ila kinachoongoza kutuua sisi huwa hatujali afya zetu tunachukulia poa tu
Kumbe wewe ni kidume? Aisee nilikua kwenye harakati za kukupigia mahesabu Mkuu, nashukuru umenisaidia sana. JF burudani sana!Hivi kwanini wanalia sana ikitokea habari mbaya?
Mbona Mc Pilipili yeye hua analia tu hata kwenye harusi?
😀😀
Yes mkuu yuko sahihi watu tunakujaga kujishtukia situation ishakua worstKuna jamaa , bosi wangu alinambia kitu ambacho huwa nakifanyia kaz kwa umakin sana.Alisema , as long as u have turned 30 's usichukulie poa badiliko lolote la kiafya unapolihis mwilin.Nenda hospital kujua tatizo na upate matibabu
Wanawake hulia kwa kiwango kikubwa kwasababu wana mguso wa juu sana tofauti na wanaume.Hivi kwanini wanalia sana ikitokea habari mbaya?
Hukohuko jibia kwann wanalia sanaNilivyoona kichwa cha uzi akili yangu ikahama kabisa, yani imeenda kwengine kabisa![emoji2][emoji2]