Kwanini wanawake wanamwogopa sana kinyonga?

Kwanini wanawake wanamwogopa sana kinyonga?

kuogopa hutegemea eneo mhusika ameishi....mfano huwezi kukuta bint wa kimang'ati aliekulia kijijini mfano pawaga akawa anaogopa mdudu,mwaka mfani nikiwa Babati maeno ya Endakiso tulikuwa tunatembea na wenzangu ghafla tukashitukia Nyoka mbele yetu tutakumbia ila ajabu bint wa kimang'ati alisimama hakukimbia,alitafuta fimbo akamuua ila sasa ukienda Dar es salaam utakuta binti wa kimang'ati anaogopa hadi mende....
Pia kwa mtu alienda Sumbawanga akitokea Mpanda bhas analijua dalaja lile ambalo lipo pale mwanzo unapoinza Hifadhi ya taifa ya Katavi,chini ya dalaja kuna mto ambao huwa unakuwa na viboko wengi sana yan hata 50 wanafika,jambo ambalo la kushangaza pamoja na uwepo wa wale viboko nilikuta mabint kama wanne wanapita kwa miguu bila hata wasiwasi wakati mimi nilikuwa nawaza gari ikizima itakuaje!
 
Kinyonga jamani khaa!
Yaani nikimuona hadi nywele zinanisimama kwa woga.
Ukitaka nikose amani hadi usiku nikilala niwe naota nitishie kinyonga ndugu dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinyonga ni cha mtoto. Ninachojua wanawake wanaogopa JONGOO.

Jongoo anavyochezesha miguu yake atembeapo na ule mwili wake ni mtihani sana kwa mwanamke
Jongoo yupi mkuu kuwa specific!....hawa ambao tumeficha ndani ya zipu ama kuna wengine?
 
Wanawake wa dar tu ndo waoga. Huku mikoani wake zetu wanaua mpaka nyoka akiingia ndani. Hao jongoo wanatolewa kwa kushikwa kabisa. Ujue wanawake wa mikoani wamewazidi ukakamavu wanaume wa dar.
 
Mwanamke ni kiumbe wa ajabu sana.... anaogopa jongoo kinyonga mende....lkn haogopi kuua mtu....
Mume....Hawara wa mume...mtoto.... Anaua vizuri
 
Kinyonga na mwanamke ni vitu vinavyofanana
 
Kwanza kinyonga kuonekana kwake ni vigumu
Lakini kwa MENDE sawa
20190204_181528.jpeg


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kinyonga ni cha mtoto. Ninachojua wanawake wanaogopa JONGOO.

Jongoo anavyochezesha miguu yake atembeapo na ule mwili wake ni mtihani sana kwa mwanamke
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom