Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaongea postive sana kawafundisha kuacha lawama kidogo watakachopewa watosheke ww huoni kaongea point au ww unapenda mtu wa kulalamika mda woteKufundisha wanawake kula vitu vya wanaume?
Kuhudumia muhimuAcha tuchunwe tu, hamna namna. 🤣
Kumbe unapenda kitonga utagongewa sana mke wako haijalishi hata kama anafanya kazi analipwa millioni kama men lazima kuhudumia ipo kotokote kwenye dini hata kisheriaHata kama binti ana pesa?
Hata kama sio 50/50 lakini ni vizuri nao wanawake wawajibike nao wawape vitu wanaume.
Dah. Poleni.Bro umekaa abroad mda mrefu😅😅 bongo siku ya kwanza tu , ukikutana na mrembo gesi yake inaisha , nywele zinafumuka , kodi inadaiwa na mama yake anameza shoka yanahitajika matibabu ya haraka.
Ni zawadi bado. Kitendo cha kuchagua zawadi tu nacho ni zawadi hata kama pesa ni zako. Unaweza kuwa na oesa lakini hujafikiria kununua kitabu kipya cha Abdulrazak Gurnah (Nobel laureate, 2021) "Theft" kinachotika wiki ijayo.Hivi ukinunuliwa kitu kwa pesa yako hiyo bado itakuwa zawadi au mtu amekusaidia kununua kitu tu?
😀😀😀😀Hivi ukinunuliwa kitu kwa pesa yako hiyo bado itakuwa zawadi au mtu amekusaidia kununua kitu tu?