vicent Makemba
New Member
- Feb 6, 2017
- 4
- 3
Atakuwa hakuona aina ya uandishi wako kabla hamjaanza kuwa wapenzi.Iv inakuadje mnapanga mipango mingi ww na demu wko then mwixho wa cku ata mpango mmoja haujakamilika anakuja Kukuambia kwmb fanya yko wala ucmfikilie iv n nn cha kufanya?!
mwixho, cku, kwmb, ucmfikilie, iv, n, nn
Ako na Stress, kachanganyikiwa😉Sijui ni kitu gani umeandika hapo? Anyway new member jifunze kuandika ki JF sasa.