Kwanini wanawake wanatunza sana magari?

Kwanini wanawake wanatunza sana magari?

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,286
Reaction score
39,418
Wakuu habari za jumapili.
Ndugu hawa jinsia ya KE ni watunzaji sana wa vyombo vya moto kuliko sisi wanaume. Mfano sister yangu alinunua gari toyota ist 2015 ni namba C lakini mpaka sasa imesimama hatari hata hizi namba D mpya hazigusi na Brother mwingine yeye alidaka harrier 2018 lakin kaicheki utaona imeshapoteza upya imechoka choka.

Hawa jinsia ya KE ni watunzaji sana wa magari ni sababu gani inafanya sisi jinsia ya ME magari yetu yanawahi kuchoka na utakuta sometimes mmenunua gari pamoja na siku moja.

Nunua gari model moja na KE siku moja, afu baada ya mwaka mlinganishe utaona gari ya ME imechoka hawa KE wanaendeshaje gari?
 
Tatizo KE wao hutunza magari kwa kuhakikisha kuwa gari halichafuki,halichakai na haligongi hovyo ila huo siyo utunzaji wa gari.Utunzaji sahihi wa gari unaanzia kwenye kujifunza how car works,kutii na kuheshimu service sahihi za gari,uendeshaji sahihi wa gari pamoja na kuzingatia replacements ya vifaa sahihi na original vya gari.
 
Lita-haribikaje au kuchakaa wakati hata pancha tu hafunguwi tairi mpaka amuite mwanamume ambadilishie, akiambiwa ni bovu linavimba atampigia mwanamume (au Noss/ mchepuko) ampe jipya
Petrol yenyewe haweki kwa pesa yake
Safari ya kwenda kwao atajiuliza mara 10, aombe lift au mafuta, mara paap kambeba serengeti amuendeshee mpaka Kijijini kwa lakini ampe akiziona nyumba
Ni lini ulipewa lift na mwanamke hebu kaa barabarani uangalie madereva pembeni yao wanakaa kina nani ndipo uje tuendelee na majibu

Champagnee

 
1. Gari linahitaji huduma za Mara kwa Mara hivyo inahitaji utoaji wa pesa, wanawake wengi hizo services hugharamikiwa na wanaume zao hivyo hawana uchungu na pesa hivyo hata kamchubuko atakwenda kukafuta
2. Mizunguko ya mwanamke ni midogo ukilinganisha na mwanaume pia wanaume hufanya mizunguko hatarishi mfano safari ndefu usiku
3.wanawake wengi wanamagari yenye mashariti ni ngumu kukuta gari ya mwanamke anaazimisha azimisha kwa washikaji anaogopa sponsor akiona atachukia lakini wanaume waazimana kiurahisi eg ole wako nikute umempakia mwanaume nakupokonya
4 nature wanawake wanapenda usafi kuliko wanaume
5Upatikanaji wa magari, asilimia ya wanaume hununua magari by 100% kwa pesa zao wakati wanawake 100% kwa njia moja ama nyingine husaidiwa eg MTU kahongwa gari anajua likifa kupata tena mtihani lazima alitunze
 
Sasa wanawake 95% wagari siyo yao,either wamenunuliwa au wanaendesha ya wame zao.sasa akikitumia rough kuja kupewa tena lingine ni jambo gumu hivyo inawapasa kuyatunza.
 
Lita-haribikaje au kuchakaa wakati hata pancha tu hafunguwi tairi mpaka amuite mwanamume ambadilishie, akiambiwa ni bovu linavimba atampigia mwanamume (au Noss/ mchepuko) ampe jipya
Petrol yenyewe haweki kwa pesa yake
Safari ya kwenda kwao atajiuliza mara 10, aombe lift au mafuta, mara paap kambeba serengeti amuendeshee mpaka Kijijini kwa lakini ampe akiziona nyumba
Ni lini ulipewa lift na mwanamke hebu kaa barabarani uangalie madereva pembeni yao wanakaa kina nani ndipo uje tuendelee na majibu

Champagnee


[emoji23][emoji23][emoji119]
 
1. Gari linahitaji huduma za Mara kwa Mara hivyo inahitaji utoaji wa pesa, wanawake wengi hizo services hugharamikiwa na wanaume zao hivyo hawana uchungu na pesa hivyo hata kamchubuko atakwenda kukafuta
2. Mizunguko ya mwanamke ni midogo ukilinganisha na mwanaume pia wanaume hufanya mizunguko hatarishi mfano safari ndefu usiku
3.wanawake wengi wanamagari yenye mashariti ni ngumu kukuta gari ya mwanamke anaazimisha azimisha kwa washikaji anaogopa sponsor akiona atachukia lakini wanaume waazimana kiurahisi eg ole wako nikute umempakia mwanaume nakupokonya
4 nature wanawake wanapenda usafi kuliko wanaume
5Upatikanaji wa magari, asilimia ya wanaume hununua magari by 100% kwa pesa zao wakati wanawake 100% kwa njia moja ama nyingine husaidiwa eg MTU kahongwa gari anajua likifa kupata tena mtihani lazima alitunze

Point...
 
Wakuu habari za jumapili.
Ndugu hawa jinsia ya KE ni watunzaji sana wa vyombo vya moto kuliko sisi wanaume. Mfano sister yangu alinunua gari toyota ist 2015 ni namba C lakini mpaka sasa imesimama hatari hata hizi namba D mpya hazigusi na Brother mwingine yeye alidaka harrier 2018 lakin kaicheki utaona imeshapoteza upya imechoka choka.

Hawa jinsia ya KE ni watunzaji sana wa magari ni sababu gani inafanya sisi jinsia ya ME magari yetu yanawahi kuchoka na utakuta sometimes mmenunua gari pamoja na siku moja.

Nunua gari model moja na KE siku moja, afu baada ya mwaka mlinganishe utaona gari ya ME imechoka hawa KE wanaendeshaje gari?


Tofauti ni hiyo ME na KE basi, au simply M na K.
 
1. Gari linahitaji huduma za Mara kwa Mara hivyo inahitaji utoaji wa pesa, wanawake wengi hizo services hugharamikiwa na wanaume zao hivyo hawana uchungu na pesa hivyo hata kamchubuko atakwenda kukafuta
2. Mizunguko ya mwanamke ni midogo ukilinganisha na mwanaume pia wanaume hufanya mizunguko hatarishi mfano safari ndefu usiku
3.wanawake wengi wanamagari yenye mashariti ni ngumu kukuta gari ya mwanamke anaazimisha azimisha kwa washikaji anaogopa sponsor akiona atachukia lakini wanaume waazimana kiurahisi eg ole wako nikute umempakia mwanaume nakupokonya
4 nature wanawake wanapenda usafi kuliko wanaume
5Upatikanaji wa magari, asilimia ya wanaume hununua magari by 100% kwa pesa zao wakati wanawake 100% kwa njia moja ama nyingine husaidiwa eg MTU kahongwa gari anajua likifa kupata tena mtihani lazima alitunze

Case Closed , I'm humbled you know hahahaa.
 
Wakuu habari za jumapili.
Ndugu hawa jinsia ya KE ni watunzaji sana wa vyombo vya moto kuliko sisi wanaume. Mfano sister yangu alinunua gari toyota ist 2015 ni namba C lakini mpaka sasa imesimama hatari hata hizi namba D mpya hazigusi na Brother mwingine yeye alidaka harrier 2018 lakin kaicheki utaona imeshapoteza upya imechoka choka.

Hawa jinsia ya KE ni watunzaji sana wa magari ni sababu gani inafanya sisi jinsia ya ME magari yetu yanawahi kuchoka na utakuta sometimes mmenunua gari pamoja na siku moja.

Nunua gari model moja na KE siku moja, afu baada ya mwaka mlinganishe utaona gari ya ME imechoka hawa KE wanaendeshaje gari?
Gari ha mwanamke inaweza kuwa nzuri kwa kuitazama nje. Ila ukiendesha unaweza kutamani kushuka.

Nmewahi endesha Passo ya mdada. Ilikuwa inagonga kama tairi zinataka kutoka.
 
Back
Top Bottom