Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weeeeeh usinambie.linaniumiza sana
Kawaida mkuuMajibu yako kiboko
Acha kukaa kihasara hasara
Mbaya unakuta mdada kavaa skin tight kama bukta...refuuu akitembea akikaa linaonekana ahahaha
Nahisi yanakuwaga magumu ahahahahaha
Mie huwa nacheka na kushangaa...manake kuna vile vityt vivupi vizuriiii🤣🤣🤣wengine anavaa tite ndefu nguo ya juu fupi..au dela na skintyt lakn tyt ananyanyua dela ionekane🤧🤧🤧🤧!..argghh
Siyapendi hayo na huwa hawajui kuwa ni ya kishamba unakuta binti mjanja kweli ila kavaa hilo wakati fupi zipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wengine anavaa tite ndefu nguo ya juu fupi..au dela na skintyt lakn tyt ananyanyua dela ionekane[emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784]!..argghh
Siyapendi hayo na huwa hawajui kuwa ni ya kishamba unakuta binti mjanja kweli ila kavaa hilo wakati fupi zipo
Sent using Jamii Forums mobile app