Kwanini wanawake wengi hawaolewi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi hawaolewi siku hizi?

Baada kuanza maisha ya ndoa mwaka 2009 na ndoa yenyewe kunishinda,
Nikaja kugundua wengi wapo kwa ndoa kwa sababu flani flani ila si upendo ule wenyewe na wengi ni vicheche ndiyo mana Sasa mke wa mtu ni rahisi kumpata kuliko mwanamke single,
Yaani ukikaa na mke wa mtu mazingira yanayofaa kwa fasta ukiomba unakula iwe kwenye gari, ofisin tena hasa hawa wanaokwenda weekend na mazingira ya sherehe huwa wanaliwa hovyo Sana!
 
wanaokataa kuolewa hawataki kumilikiwa. kuolewa ni sawa na kukubali mtu akumiliki.
Kama ikigeuka wanawake ndio waoe ujue mambo yatabadilika kabisa
Ugomvi katika ndoa nyingi ni ishara ya wanawake kupinga kuolewa baada ya kuolewa!
Hii imeanza Ulaya kwa wingi wa talaka. Afrika imeanza na ugomvi katika ndoa. polepole talaka zitatamalaki
Ili wanawake waolewe kwa wingi tuanze na ndoa za mkataba. mkichokana mnapishana. Mambo ya pingu tena za maisha ndo nn hasa!
 
Ubaya ukiwa katia na
Unataka kuoa kbsa unaambiwa
Bado nakula ujana.
 
JF ina watu wenye tabia ya kurudia kuzungumzia jambo moja over n over again.

Miongoni mwa mada hizo ni suala la Punyeto, Vibamia na habari ya wanawake kutoolewa au single mothers.

Kinachonishangaza yote haya yameshajadiliwa sana humu na wanaojadili ni wale wale.

Inastaajabisha Wallah.
 
JF ina watu wenye tabia ya kurudia kuzungumzia jambo moja over n over again.

Miongoni mwa mada hizo ni suala la Punyeto, Vibamia na habari ya wanawake kutoolewa au single mothers.

Kinachonishangaza yote haya yameshajadiliwa sana humu na wanaojadili ni wale wale.

Inastaajabisha Wallah.
Imekua too much hakika, sijui watu hawapitii nyuzi zingine kabla ya kuleta zao.
 
JF ina watu wenye tabia ya kurudia kuzungumzia jambo moja over n over again.

Miongoni mwa mada hizo ni suala la Punyeto, Vibamia na habari ya wanawake kutoolewa au single mothers.

Kinachonishangaza yote haya yameshajadiliwa sana humu na wanaojadili ni wale wale.

Inastaajabisha Wallah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawana jipya
 
Back
Top Bottom