Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

Joasi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
766
Reaction score
674
Habari zenu.

Jana nilikuwa mgahawa fulani hapa mjini. Katika story story kuna dada akaanza kulalamika umri unazidi kwenda na hawapati mwenza na wengine wanaanza kulalamika pia juu ya kutopata wenza.

Nahitaji kujua ni kwanini hawaolewi?

Naomba tuchangie mada
 
1. Wanaume ni wachache

2. Wengi kati ya hao wachache ni wahuni

3. Kuna mashoga ambao hawaoi wanetembea na wanaume wenzao

4. Kuna mahanithi, hawana nguvu za kiume

5. Kuna walevi kupindukia ambao hawana muda na wanawake kabisaaaa, wao starehe yao ni pombe tu

6. Hivyo wanaume wanaotaka kuoa ni wachache saaaana

7. Wanawake ambao wanataka kuoelewa ni weeeengi saaana

8. Kwahyo mwisho wa siku wanawake wengi kati ya wengi wanaotaka kuolewa ni lazima hawataolewa kwa namna yoyote ile.

9. THREAD CLOSED

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
 

Nakubaliana na ww kabisaa wengi wetu ni wahuni
 
Last edited by a moderator:
Wanawake kutoolewa naweza nkasema kunasababishwa na vitu vitatu.

1.Kujisikia kwao na kuringa pasipo na sababu za msingi.Unaweza ukamtokea binti kwa nia njema tu lakini akawa analeta nyodo na maringo.Pia wengine wanakuwa na masharti magumu sana zaidi hata ya waganga,mara uwe na gari aina flani,huwe na hela za kutosha n.k. Wanawake wa dizaini hii huwa wanakosaga watu wakuwa nao maisha kwasababu ya masharti yao ya ajabu ajabu na tamaa.

2.Sababu ya pili naweza nkasema kitenda cha sisi wanaume kupiga na kuacha mara kwa mara kinachangia kwa kiasi fulani.Just imagine msichana ambaye ameshaangukia ktk bad relations mara nyingi,hufikia wakati anakosa imani na kila anayekuja,matokeo yake umri unaenda .

3.Hii sababu ya tatu pia inarudi kwetu tena mens.Wengi tunapenda ule msemo wa Mwana FA kuwa bado tupo tupo kwanza.Just imagine kijana anaamua kutooa mpaka ajipange vizuri kimaisha kwanza,let say kwenye 35 ndio anaamua kuoa,unadhan atamuoa yule waliyekuwa wote chuo??(wa umri wake).Ni kitu ambacho ni nadra sana,hapa atatafutwa mwenye 20's ndio atawekwa ndani.Yule wa 35 je?? Kwa style hii wengi huwa wanakuwa na mawazo sana.

But mimi ningewashauri dada zangu kutatua matatizo yaliyo upande wao mfano kuringa,dharau n.k...alafu yaliyo upande wetu sisi Mwenyezi Mungu atawapigania.

#Analyse
 
Utafiti anzia kwenye familia yako, jiulize je dada zako, mabinamu, wadogo zako hawajaolewa kama jibu ni ndio basi kunatatizo.

Zaidi ni kwamba mtu kulilia kuolewa ni yeye na kiu yake, usijumlishe kwamba wanawake hawaolewi wakati kuna watu wameoshewa mpendwa pendwa kila siku ndoa zinafungwa,

Pia lazima ufahamu kuna wadada wamejipanga kimaisha na hawana haja ya kuolewa zaidi akitaka dyudyu! Anamtu wake anamdunyua.

Wanawake wa sasa kazi na pesa, dyu!dyu baadae
 

Jibu tosha kuolewa n hiar pesa mpango mzima
 
1.Kwanza mwanaume ni wachache
2.Hao wachache wenye pesa pia ni wachache coz ndoa bila kipato cha maana ni movie tu
3.Kati ya hao wachache kuna washoga na ndio wanazidi kuongezeka kila kukicha
4.So ukitoa mashoga then wanabaki wachache kishenzi......
5.Hapo hujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume wanaogopa hata kumuangalia Mwanamke.
5.Ukiwatoa wale wanaozalisha tu hawataki kuoa.....sijui wanabaki wangapi
6.So katika kila mwanaume mmoja inabidi awe na wanawake 6 ili kuokoa hii hali
SOLUTION
Waislamu waongezewe kutoka wanne mpaka 6
Wakristo tuwaulize vizuri Waroma ( sio hawa Watanzania katoliki) namaanisha wale walichukua historia ya YESU Israel na kuanzisha ukristo kwao kwamba " Je hii sheria ya mwanamke mmoja ilitoka kwa Mungu au Kwao"
 
Joasi

Kwasababu Wanaume hawaoi.
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri sababu ni:-

-Wanawake wengi wako selective sana,wanataka waolewe na mwanaume ambaye anajiweza sana kimaisha,mwenye nyumba,gari n.k

-Wanaume wengi wamechoshwa na mauzauza wanayosikia katika ndoa za watu wengine kama kuchapiwa.

-Wanaume wengi wanataka kujipanga sanaa na kuwa na uchumi mzuri kabla ya kuoa

-Wanaume wengine pia wanaona goodlife ni kuwa single na kufaidi mabeibeiz na sio kuwa na majukumu ya kifamilia

-Finally,Kuna Wanawake wengi hawana sifa za kuolewa,mfano ni wahuni,wana kiburi,wababe sana.
 
Mbona kama fikra zetu zipo "analogy". Sehemu yoyote panapokuwa na maendeleo ya "kiliberali" (nguvu ya soko kuamua maisha). Ndoa hugeuka kutokuwa kipaumbele kwa watu wengi ima wanawake au wanaume. Watu wengi huwekeza akili yao katika ulinzi wa maisha ya baadae kwa kutafuta riziki. Hata wanawake wengi wanaotaka kuolewa leo lengo lao sio ndoa bali kwao ndoa ni ajira.

Ni vizuri tukaishi na kuwaza ktk wakati uliopo na sio uliopita.
 
Kwa Tanzania wanawake ni asilimia 52 dhidi ya 48 ya wanaume so lazima kuna ambao hawatapata wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…