Joasi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 766
- 674
Habari zenu.
Jana nilikuwa mgahawa fulani hapa mjini. Katika story story kuna dada akaanza kulalamika umri unazidi kwenda na hawapati mwenza na wengine wanaanza kulalamika pia juu ya kutopata wenza.
Nahitaji kujua ni kwanini hawaolewi?
Naomba tuchangie mada
Jana nilikuwa mgahawa fulani hapa mjini. Katika story story kuna dada akaanza kulalamika umri unazidi kwenda na hawapati mwenza na wengine wanaanza kulalamika pia juu ya kutopata wenza.
Nahitaji kujua ni kwanini hawaolewi?
Naomba tuchangie mada