Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

Mbona mnasahau kitu DESTINY? Majaaliwa yana nafasi yake ktk maisha! wengine wanapenda ndoa ila hawazipati.
Lakini kikubwa wadada tujue kuji position wengi wakiwa ktk mahusiano hawajui kujiposition as wife materials wanajiposition kimovie sana hapo lzm mjomba ageuke filbert bay.
Cha tatu maamuzi binafsi unaweza kuta nimeanza mapenzi nina 18 yrs. hapa nimekutana na breakdown za moyo za kutosha so mpaka nafikia 25+ nakuwa na mtazamo hasi kuhusu men na Mungu akinijalia kazi nzuri ntaona daa bora nifanye kazi nizae na yoyote then niishi kama single mother.
 
Hapo kuna udhaifu pande zote mbili.
-wanaume sku hizi wavivu
-wanaume wababaishaji,
-waongo,
mbaya zaidi mtoto wa kiume anataka alelewe na mwanamke, wanaume hatuyajui majukum yetu.

Mtoto wa kiume anataka naye aolewe na mwanaume mwenzie
hii ni ajabu ya kweli toka mwanzo mpaka mwisho wa dunia..

Nanyinyi wanawake mmezidi kuwa take away sana, mwanake mda wote linawaza kupekenyuliwa tuu na kupiga mizinga pumbaaaaf.

ONYO: kwenye huu ujana wengi mnaona mnajimudu na hakuna shida ya kuolewa hii ni kwasababu umri bado haujakutupa nkono kila siku unapata mwanaume wa kukutongoza na unapata mwanaume wa kumchuna kwahyo mda wote unaliwazwa na nzuri zaidi unawekwa mchepuko na mchepuko anakuwa na nguvu zaid ya kumcontrol mwanaume lakn ngoja umri ukutupe nkono itafikia kipind hata salam kwa mwanaume hupat labda kwa wale ambao n ndg zako tu. Kipind ambacho mapaja yanamakunyanz hapo ndipo utakuja kuuona upweke ww mmeo utakuwa mdo na vidole au dildo. Msijidanganye andiko la Mungu halijawahi kukosea bali linabaki kujutiwa na binadamu.

Tuonane october
 
1. sababu wanaume wengi wamekuwa mashoga.
2. ndoa zimekuwa headache tu siku hizi
3. artificial equipments zinakidhi mahitaji yote
 
Siohuna habari sema watu hawana habari nawewe... Wanaolewa watoto wawafalme na pesa zao zote wewe na vishilingi vyako vya madafu kelele kibao

Hahahahahaha!!!!!!!!! wacha nicheke mie,

mimi mwenzio wazazi wangu walishapokea mahari, na mbwembwe zoteeee, kifupi mshenga nilimshughulisha na pilau lilipikwa, na nikabwaga manyanga mimi mwenyewe lakini hata leo nikitaka naolewa na ninakwita uje ule, unywe bureee, acha wewe kuna watu tumeoshewa mpendwa pendwa.
 
Labda mmngewauliza wanaoachana kila siku na wanaokimbia ndoa kila kukicha kunani kwenye hizo ndoa.nani wakumshangaa aliyekimbia au ambaye hajaingia kabisa.
 
Ni kwa sababu wanaume wengi siku hizi hawaowi. Watoto wa kiume siku hizi bure kabisa hawataki kutengeneza familia.
 
Nadhan wanawake waliowengi uolewa kwa sababu ya shida za kwao (sina maana ya kipato) lakini akishapata elimu yake akaweza akaweza kumudu maisha,kuolewa kwao sikitu ya lazima sana wengi wanaona kuolewa ni kama kunyanyaswa na ndio maana waliowengi kikichanganya kwa upande wa mke ndoa uvunjika, na utasikia anasema taabugani kama watoto ninao Nina uwezo wa kuwasomesha mwenyewe sinahaja na mume.
 

Umeongea mengiii ila sijapata point yako, tatizo lako nini wewe hata kama ningekua na kipato cha elfu kumi nikaridhika ila simtumikii mtu, wacha nicheke mie, bado huna unalojua kuhusu maisha wewe mtoto ila unaweweseka tu, anyway ngoja nikuongeze sababu nyingine nzito ili unye tikiti.
  • Siolewi kwakua wanaume wengi 90% nihamna nguvu za kiume na hata wenye nazo bado ni ladie's finger
  • hamna pesa mnapenda kulelewa ndio maana nanyie mnot.........bwa mfano wewe hapo.
 

aisee! Umenifanya nimkumbuke top manyota... Hvi bado unamtoa udenda?
 
Siku wanao uliowazaa na wanaume tofauti wakianza kutaka kuwajua baba zao ndio na kukuuliza kwanini kila mtu ana baba ake ndio utajua PESA sio heshima..

Kwani aliyekwambia kuishi mwenyewe ni kuzaa nani?????? nani anataka shida yakufua nepi kila mwaka???? na uliona wapi mwanamke aliebize akawa anafua nepi kila mwaka???? nina mwanangu mmoja nimemaliza, ninamlea vizuri kuliko hata hao wanaolelewa kwenye dyudyu!!! yakulalia.

Sio kweli eti hamtaki kuolewa sema hujapata the right choice 4u!any decent lady like to be in marriage ajilie dyu dyu kwa heshima na taadhima!!hayo mambo ya eti akitaka dyu dyu ana mtu wake anampa ni uhuni tu!

dyu dyu dyu ya nje tamu sana, kwenye ndoa mara mtu kibamia unabaki unanung'unika kisa, huku uhuru perfomance mbaya unamchapisha lapa, hahahaha!!!

wacha wee!😱 sema hakayamungu😱

Hahahahaha!!!!!!!!!! usipite huku, dada yako natapika, naona dalili yakuchafua hali ya hewa na kupewa bani.
 

acha bhana! Sema hakyamungu
 
''hata leo nikitaka naolewa'' uolewe ili iweje Sasa? Siulisema utakia kuolewa? Pia atakaeoa mzoga nae zombie tu
 
Hivi ndoa zimekuwa za muhimu kiasi hiki?
 
Kuna aliyesema bora kukosea kujenga kuliko kukosea kuoa wanaume wengi wanaangalia hilo maana wanaona taabu wanazopata wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…