Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

Kwani wanaume wanaoa? Unaulizaje kuolewa kwa mwanamke bila kuhoji waoaji? Tulioaoma hesabu kuna dependent and independent variables.
 
Wanawake wamejifanya rahisi sana sikuhizi kuonjwa.
Wa
nawake hawapendani,wanapambana wao kwa wao
kwa Mwanaume mmoja
2.Wanatembea uchi ili kuvuta hisia za wanaume.kumbe ndo
wanauwa hisiazetu kwao.
4.Kuna haja ya makusudi kuhamasisha ndowa za mitala
5. Maisha ya mijini si rafiki kuowa mapema,kwani mke
ni majukumu.
 
''hata leo nikitaka naolewa'' uolewe ili iweje Sasa? Siulisema utakia kuolewa? Pia atakaeoa mzoga nae zombie tu


Nishamaliza huu mjadala, natumia mitandao ya kijamii kwa kutafutia pesa, kutoa maoni yangu n.k sio kutafuta maisha ya mtu asiye na faida kwangu, niolewe au nisiolewe hilo ni juu yangu, au unahisi nakuchukulia bwana ndio maana OMO inakutoka???????

Usiniquote tena, maana sitakujibu maana naona unanichanganya tu nahangaika na hela mie, we unaehangaikia dyudyu subiri nikuletee makungwi wakupe kitchen party.


usiniqoute tafadhali nishafunga mjadala nawe.
 

Kafie mbele
 

hitaji la ndoa ni la mwanamke na mwanaume, si mwanaume pekeyake. Hivyo basi we mwanamke unayeona umri unakwenda na mtu hatangazi nia kwako nakushauri wewe ndio uone kijana anayefaa na umwambie hisia zako.
siku hizi ukikaa tu usubiri kufuatwaa utasubiri utachoka.
Mabinti wengi huogopa kuwa approach vijana wa kiume wakidhani ni kujidhalilisha, au wataonekana ni malaya, we binti/dada mwanaume atakayekwambia hivyo basi jua kuwa yeye ndio kichaa hajielewi. we songa mbele kutafuta usisubiri kufwatwa.
 
Jamani kuolewa ni muhimu, Mwanamke asiyekua na mume huonewa sana kwenye jamii, Mimi niliolewa nikaingia kwenye magroup ya madada wa mujini wasiohitaji ndoa nikashtukia na Mimi nishakua mmoja wao sasahivi ndio naecperience joto ya jiwe, najiona mpweke nasina Furaha yakweli nikimuona mtu na mume wake naona wivu napatwa namawazo, kiuchumi sina tatizo ila kifamilia najiona nimepungukiwa sana, sijuhi labda ni Mimi tuu, ila itabidi nifanye juu chini niingie kwenye ndoa tena maisha bila mume sio kabisa,
 
Kwasababu wengi bado wapo katika ndoto za utoto kwa maana ya kua wanataka waolewe na prince mwenye kila kitu.. Hawajua kwamba maisha ya sikuizi unanza ukiwa na mwenza wako from down..
 

ulitakiwa uinzishie uzi kuna vingi umeviacha kuhadithia
 

Umegusa upande mmoja
 
Hiyo ni kweli mkuu, dah hoiyo no moja ilisababisha nitembee kama gogo tu mie, no salamu wala nini, eti unambembeleza mtu wakati kila mmoja ana hajas na mwenzake haa. Haiwezekani aisee, afadhasli kuendelea kuwa kauzu na sura ngumu kuliko hata simba. KUdadadeki eti mdada unamwita anajifanya hakusikii,hahaha huyo afadhali apigwe na shoti ya umeme kuliko kukutana na mimi ala.
 
kama kuna binti mmoja mrembo hatariiii nimekuta kalewa anatukana matusi hatariii sa kama huyo si atakuwa anawajaza watoto mitusi maana kila wakikosa ye ni mitusiii tu HATARI!
 
Si kila mtu ni wa kuoa au kuolewa, hatujaumbwa kufanana kimaisha, wengine wameumbwa kuwa single forever cha msingi ni kujitathmini kibinafsi wewe upo kwenye kundi lipi.Ingawa ni ngumu kumesa but ndio ukweli wenyewe maana hamna namna!
 
Wengi hupata wenza wanaowapenda na kuwajali vizuri, lakini baadaye hawa(wadada/wanawake)hujiona kuwa wao ni zaidi na wanaweza kufanya lolote-huanza usumbufu na tabia mbaya na mwisho kuachika.

Tatizo linakuja kumpata tena kama yule wa mwanzo.
 
Tatizo hofu ya kutendwa/Kuumizwa kimapenzi imetanda binafsi kabla sijampata wa kufanana nami niliapa hata Mwanamke aweje kama siyo bikra siwezi kumuoa coz siku zote nitakuwa sina amani naye nikiamini kwamba hana ustahimilivu hivyo atanichepuka mara ya pili,alishindwaje kuvumilia hadi atakapoolewa na mimi? nitaamini vipi kwamba aliochepuka nao kabla hana mawasiliano nao? hapa naona kupasha kiporo kupo nje nje,wenyewe wanasema kupasha kiporo hakuhitaji moto mwingi NI HATARI!
 
Cmple,,,

1. Elim yao inaleta dharau
2. Too selective
3. Kuigiza maisha
4. Hak sawa 50-50
5. Heshima

6. All the above.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…