yaani........... ndo nini hiki?Zinazuia dengu!??
Zinazuia dengu!??
kwa sababu uvaaji wake ni riski kwetu unatumbukiza ndani y papuchi inaweza zama huko ni shida.... ila mwanaume anavaa kwa nje ya dushe haina tatizo hiyo labda uchukue size ndogo ikubane au kubwa ukupwaye ndiyo tatizo kwako
Miss Chagga, ivi una umri gani? na je unaishi Dar? naomba unijibu (ata via PM) please, maswali yangu ni kwa nia njema kabisa.
Ha ha mkuu mbona maswali magumu .... niambie nia njema yako nitakwambia
iyo shikamoo yako nishaitikia PM, please visit your inbox.:smile-big:
Ni ukweli usiopingika asilimia kubwa ya wanawake hawapendi kutumia condom za kike kwa kigezo tu kwamba eti zina usumbufu katika kuzivaa, kwani waliozi-design kwa ajili yenu hawakuliona hilo? Acheni hizo bana watu wametumia akili nyingi na muda mwingi kubuni hiyo kitu kwa ajili yenu halafu mnazikataa!
Nimefanya research nyingi kwenye vituo vya afya na kwenye maduka ya madawa, condom za kike zinakaa store mpaka zinaexpire na kutupwa.