Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Kuna mpemba mmoja alikua kila siku akikaa maskani anawasikia jamaa wanavyoisifia hiyo tigo, siku moja mchana mzuka ukampanda akaelekea nyumbani, akamkuta wife anatengeneza juisi ya ukwaju, akamwita mama najisikia hamu ebu njoo, katika shughuli mpemba akamuinua miguu akaipitisha kwa chini(akajiexpress), mke akashtuka ,akamwambia baba ehhee kwajuu, mzee akamjibu nitakunywa baadaye, kumbe mke alivyokua anamwambia kwajuu alikua anamaanisha kwa juu. mmhhh nikahisi kumbe pia hii sikia sikia inachangia mchezo huu
 
sio kwamba nawatetea......
but huwezi sema kwa mfano kwa nini watu wengi wanapenda
kuvuta sigara,bila kujua jinsi sigara ilivyo addictive na jinsi
ambavyo ni vigumu kuacha.

sio wanawake wote wanaoingiliwa kinyume na maumbile wanapenda
au kujua madhara yake.....
wengine wanaanza utotoni......
wengine wanafuata mkumbo,wengine wanafundishwa na jamii
mfano nyimbo za taarabu,
wengine wanalazimishwa na wanaume waliowapenda n.k

jiulize kama wanaume wengi tungekuwa hatupendi
kuwaingilia kinyume na maumbile,nani angewaingilia????

tusiendeleze utamaduni wa blaming the victims.....

zamani ilikuwa ni wanawake mashangingi na malaya tu
ndo wanaopenda mchezo huo.but siku hizi
ni karibu wanawake aina zote,wanafunzi,waimba kwaya,wake za watu.wasomi,
matajiri n.k

sababu ni nyingi lakini zaidi ni kuwakuna wanaume wengi siku hizi
ambao hupenda kuwaingilia wanwake kinyume na maumbile
hata kwa nguvu.


Sikujua kwamba na wewe boss umo. Kazi kweli kweliJf ina mambo na mambo yenyee yamekuwa mambo.
 
Kweli matokeo ya utandawazi hayo, ila tunahitaji control and regulation siyo full kujiachia.
 
Huyu ustaadh Mzizimkavu inaonesha hii ndo ada yake, ameleta hii thread kutest water kama watu watamsapoti au la. Kwa kifupi ustaadh umepotea njia.
 
deh deh deh! nilienda kumpa kampani taiga wudi, lile skendo lake limemlet chini kweli, misd u vile vile . anakupeni hi wana jf anasema akishakujifunza kiswahili atajoini jf.

mwambie luga si issue hapa alikuja mu-armenia na wtu wakaendelea kuwasuiliana nae vile vile...JF fulu malinguistiks
 
nadhani swali lingekuwa kwanini wanaume wengi siku hizi wanapenda kuwaingilia wanawake au wanaume wenzao kinyume cha maumbile. Sote tunafahamu kuwa kwa kiasi kikubwa mapenzi yanaongozwa/yanatawaliwa na wanaume hasa katika jamii za kiafrika ambako mfumo dume bado una nguvu sana.
siku hizi bwana na wao wanakwambia kabisa nifanyie kwa nyuma. Anakwambia tujaribu. Ukijaribu anakwambia siyo hivyo fanya taratibu kwanza.
 
Kuna mdada amenunuliwa nadia kwa sababu ya kutoa tigo,kwa mwendo huo ako kamchezo hakataisha!
Ila si tabia njema hasa kwa wanaotarajia kupata watoto kwa mwanamke ni kijambo kwa kwenda mbele wakati wa kuzaa wakati kwa mwaname ni aibu bse uume ulioutumia kwenye tigo ndo wataka zalisha mtoto kwa kutumia uume huo huo na huyo mtoto akiwa bazazi utalaumu si ni mtoto wa tigo.
LAAAAAAAAAAANA

mmh huyo dada nampa pole sana anaharibu utu wake kisa nadia
 
Inasikitisha lakini kweli sababu ni kuwa wamelegea?
Zamani ilikuwaje?
Nafikiri ni usasa unaoletwa na utandawazi,kupenda maisha ya juu na ushawishi wa wakaka wenye pesa zao!
Wakaka wengi wanasahau siku moja watakuwa au wana watoto wa kike! Na kwa wale wakristo kumbukeni Mungu ameahidi " NAMI NAWAPATILIZA WANA MAOVU YA BABA ZAO<HATA KIZAZI CHA TATU NA CHA NNE CHA HAO WANICHUKIAO'. Hivyo jua raha unayoitafuta kwa mtoto wa mwenzio itakuwa kuwa kero kwako ukijua binti yao/mjukuu wako anafanyiwa hayo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom