Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?


Hakika, mwanamke muelewa na asome hapa na elewe. Wengi wametanguliza pesa wameishia kuambukizwa magonjwa ya ajabu kwenye kuuguza ndio wanaoesha kujutia kwa upuuzi waliokuwa wanafanya.
 
Hao wanawake wengi wanaopenda kuliwa tigo mnawatoa wapi?

Unasoma humu unakuta mtu anadai kalazimishwa amle ndogo mwanamke ila yeye hapendi. Na wewe una miaka zaidi ya 16 katika mahusiano na hujakutana na hizo mambo.

Huu nao ni uongo kama wa Jafari Kichwa kudai demu alinikubali mimi ili awe karibu na yeye so ni sawa tu alivyonipindua.
 

Hili swala la wanawake kuombwa tigo, ingawa sisi wanaume ni wa kulaumiwa, ila tuseme tu ukweli na ninyi wanawake kwa kiasi flani mnachangia.

Kwasababu ninyi wadada, wengi wenu (sio wote) mkijipiga picha, mnapenda kuyaonesha na kuyatingisha makalio yenu, kama huamini ingia instagram uone picha za wadada, yani wadada wengine hadi wana akaunti zao kabisa, picha karibia zote wanaonesha makalio yao makubwa, sasa hii inapelekea wanaume wengi tuwe na mawazo hasi, tunaanza kuwaomba tigo

Sasa mkijipiga picha au mkijirekodi video huku mnayatingisha na kuyaonesha makalio yenu sijui mnamaanisha nini Raynavero Goddess
 
Nakuelewa sana kizazi chetu hiki ni mtihani sana tuombe Mungu atuhifadhi na mitihani. Wadada au wanawake naona tumekua na mambo ya hovyoo mnoo mpk shetani anaogopa.NA wengine ndo chanzo cha hizo dhambi kwa tamaa tu
 
Naomba nikuulize' ukipiga picha kifua wazi unatuonesha nn?
Ukapiga picha inaonesha mikato ya kushuka chini kwenye uume pia hua mnaonesha nn?
Ukachukua clip una bite ur.lips na kuonesha sura yako unatarajia nn inamaana kama unasura nzuri ya kuvutia basi watu waione

Mtu kuchukua video anatingisha tako doesnt mean anakushawishi uombe tigo'

People show what they have naamini hiko'

Alie na tako kubwa hawezi kua sawa na mwenye size ama flat screen mnaita'

Kwani ukiangalia bila kuwaza unayoyavutia kasi kuna shida gani?!

Mtu kajaaliwa tako ila kanyimwa sura ss kwann asiringishe tako lake?
 
Mamaa kimbia kimbia
 

Hahaa nimefurahia utetezi wako, ngoja nikuulize swali, una mtoto wa kiume mwenye miaka 21, halafu unaona dume lako linapenda kupiga picha akijionesha kalio lake, na anajirekodi video anatingisha makalio yake, wewe kama mama utafikiria nini, kuwa tu mkweli dada yangu.

Binafsi, Mm naona ni sahihi kwa mwanaume rijali kupiga picha akionesha kifua chake, sura yake, na six packs zake.. Goddess
 
Wewe mbona mimi ulinipa Tigo alafu hala unajifanya kukataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…