hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Alipigwa ban kwa sababu ya nini?Unachezea burn ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipigwa ban kwa sababu ya nini?Unachezea burn ww
Sijui hataAlipigwa ban kwa sababu ya nini?
Safii sana a wife materialIla mwanamke anaejielewa hawezi fanya kitu kama hicho, shida ni umaskini na tamaa kwa dada zetu ndo inapelekea kutoa tigo akipandishiwa dau tu anatoa. Nashukuru mungu sijawai fanya huu ujinga na siji fanya huu uchafu.[emoji120]
Teh hata humo ndani ya ndoa discussion zinaendelea, aidha mwanaume au mwanamke ana initiate, na huwa sometimes haya mambo yanaanza na kauli za kama kupinga hivi "hivi watu huwa wanawaza upumbavu gani kufanya mambo kama hayo"...." sijui hata wanafurahia nini".... "hata mimi nashangaa"Wala sio akili kutokuwa na akili timamu. Mambo hayo hufanyika ukiwa unajielewa kabisa.
Tulia na mume wako ndani lakini ukisema utoke na wanaume wa mtaani hiyo hadha ya kuingiliwa kinyume na maumbile lazima ikukute.
Amini, mwanamke yeyote mwenye makalio makubwa halafu kama anaya promote hivi akipiga picha anayapa kipaumbele, akicheza muziki anayarusha kama wale wadada wa shughuli..90% ya wanaomfukuzia wanapenda kutindua kule,kadhalika 80% ya wanawake hao walishafanya walau mara moja, wakaona sio issue na wengine wakaamua kuendelea.Sifhani kama kuna mwanamke mwenye akili timamu anaweza initiate kuingiliwa kinyume. Nyie wanaume mnawabembeleza sana na sie tulivyo mambulula wa kutaka kuwaridhisha tunafanya hivyo.
Atii unatibu Ukimwi?Mkuu nipo busy siku hzi ninawatibia watu wenye maradhi Sugu yasiyoweza kutibika Mahospitalini kama Maradhi ya Saratani, (Cancer)Maradhi ya Homa ya ini, (Hepatitic B Virus) Maradhi ya Kisukari, Maradhi ya Ukimwi, Maradhi ya Tezi Dume (Prostate Cancer) Maradhi Sugu ya UTI na Maradhi mengine mengi yasiyo weza kutibika Mahospitali ndio maana nina kazi nyingi sionekani sana Majukwaani.
Ndio mzee hadi ule wa uchumi wa katiAtii unatibu Ukimwi?
Safi sanaaNdio mzee hadi ule wa uchumi wa kati
Yanii ona sasa kizazi kinstaka kula tako kila sikuKuangalia na kukodelea macho maponogrphy... Ndo chanzo watu wanataka kujaribu kila kitu...
Wanasema shahawa zikimwagwa huko nyuma zinsongeza makalio ni kweliKuangalia na kukodelea macho maponogrphy... Ndo chanzo watu wanataka kujaribu kila kitu...
Mbona mashoga hamuwaongelei? Hawa ndo chanzo dada zetu kutoa 0712
That last part ruined everythingAmini, mwanamke yeyote mwenye makalio makubwa halafu kama anaya promote hivi akipiga picha anayapa kipaumbele, akicheza muziki anayarusha kama wale wadada wa shughuli..90% ya wanaomfukuzia wanapenda kutindua kule,kadhalika 80% ya wanawake hao walishafanya walau mara moja, wakaona sio issue na wengine wakaamua kuendelea.
Kuna mwamba girl wake ni smart but ajabu aliomba mwenyewe, lakini akawa anashindwa kuvumilia first initiation.
Nadhani pia kuna uvumi mtaani,kuwa mkitupa hiyo kitu tunakuwa mazwazwa...its a lie.
Pia hata sisi wanaume kuna uvumi kuwa tukifanya hivyo mwanamke anachanganyikiwa juu yetu.
Zote ni lies,mwisho ni ngumu sana kujua mambo binafsi wenyewe yanakata kiu zao kiasi gani. Imagine mwanaume anawekwa ndole na mwanamke na anafurahia duh