Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Na wewe jibu kwanza maswali haya.

1. Umejuaje kuwa wanapenda.

2. Je umewahi kushiriki.

3. Kama ni ndiyo kwenye swali la 2. Ulijisikiaje?
 
Vijana wanaita MAMBo yetu Wanakwambia ni uzazi wa mpango ulio salama
pia hizi video za ngono huwa zinawaharibu
 
Inaonekana ni mzoefu ktk hii field ya kuwaingilia kinyume na maumbile watoto wakike
 
Hivi huwa najiuliza,wanaofanya kinyume(wanawake)huwa wanaliza haja zao za mbele....(kama ni jibu nyeti naomba unijibie inbox)

mwanza kwetu
 
Toa sababu zako na jinsi gani ya kusolve hili tatizo.
Ni kweli sule wanaipenda lakini kwa hili!!!??Magu aangalie kwa jicho la tatu
Weka ushahidi mkuu, umekuwa tu subjective.
 
Wengine wanajaribu kwasababu wanasikia kwa wanajamii wanaoishi nao,vilevile kauli ya rais Magufuli juu ya wanafunzi watakaopata ujauzito kutoendelea na masomo na pia kuwepo kwa katazo la utoaji mimba kisheria,hayo yote yanachagiza wanafunzi na baadhi ya wanajamii kuendekeza ufanyaji wa mapenzi kinyume na maumbile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wanaogopa mimba wamepata alternative.

Inabidi elimu iongezwe kuhusu ili jambo kuwaonya hawa madogo.
Mtandaoni tu ndio tatizo kubwa mkuu madogo wana stream tu na 4G hii balaa tupu.
Mimba wanaogopa maradhi jeee??Mungu pia hawamwogopi???
 
Wew mtoa uzi bila shaka unashirikii haya mambo.Swali je umejuaje kama nawew sio miongoni????¿???

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
 
Back
Top Bottom