Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namba tatu ndio iwe namba mojaSababu kuu Ni tatu
1. Mbano wa Hali ya juu
2. Joto Kali
3. video za ngono
Ahahahah..zipo mkuu mwenyewe ilikua sijawah kukutana na hiz dhahama mpaka siku nimelala gesti moja pale muleba stand kagera 2015.Guest gani hizo za mpaka kusikia sauti z vyumba vingine?
Khaa!! Sijawahi kukutana nayo. Situation hiyo niliipataga chuo hostel 🙌Ahahahah..zipo mkuu mwenyewe ilikua sijawah kukutana na hiz dhahama mpaka siku nimelala gesti moja pale muleba stand kagera 2015.
Nilipata tabu sana siku hiyo usiku ukawa mrefu vibaya.
Dhahama nyingine kama hii nilishawah kutana nayo ubungo external lodge moja hivi..
Hatar..Unaweza enda kuomba collabo upige featuring
Teh teh teh.Naomba nisiulize nilichotaka kukuuliza..Khaa!! Sijawahi kukutana nayo. Situation hiyo niliipataga chuo hostel 🙌
Teh teh teh.Naomba nisiulize nilichotaka kukuuliza..
Hapakufai hapa kalaleeUwiiiiiiiiiiih nimebaki numeduwaaa tyuuuuh, hata sijuwi nini kunazungumziwa, anyway ngoja nisome comments tyuuuuh.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulisoma UDOM?Khaa!! Sijawahi kukutana nayo. Situation hiyo niliipataga chuo hostel 🙌
Wapi nimeandika?Ulisoma UDOM?