Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Sijui anaposema wasichana wengi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile, amepata wapi takwimu! Amewauliza au alipowataka kimapenzi ndio akapewa hiyo mnayoita tigo?
Mkuu Buchanan Nimefanya

Uchunguzi huku nilipo karibu asilimia 98 ya Watu weupe wanapenda huo mchezo wa kuingilia wanawake nyuma huku ulaya ni

kitu cha kawaida ila ninashangaa huko kwetu kwanini tunaiga mambo aya kizungu? inakuwaje mume kumuingilia mkwe kwa

nyuma (tigo) Je Dini zinaruhusu hilo jambo?Tukiachamambo ya dini kuto ruhusu hilo jambo Je sisi Waafrika mila na utamaduni

wetu tunaruhusu hilo jambo? mume kumuingilia mke wake nyuma? ninakubaliana na wewe mkuu.@The Boss Wanao

changia sana ni sisi wanaume kuwalazimisha wanawake kumuingilia nyuma kwa lazima ni kweli Wanaume haswa

wa kiafrika ndio chanzo kikubwa cha kuwalazimisha wanawake zao kufanya tendo la Tigo.
 
Last edited by a moderator:
Nani tena kairudisha hii mada?Nimeirudia yote na kujishangaa kile nilichochangia mwaka jana,lakini anyway nitachangia tena.Haya mambo wala sio siri yapo na yanatokea kila siku katika jamii zetu,kama miezi miwili iliyopita rafiki yangu kaja kunitembelea ana ngeo,kumuuliza kulikoni ananiambia we acha tu,siku nimemtembelea nyumbani kwakenikamuuliza mkewe jamaa anaendeleaje,mkewe anajibu mi sijui muulize yeye mwenyewe nilipomdadisi jamaa kwa kina akaniambia kapigwa chupa ya wine ne mkewe kia alikuwa anangangania tigo.Binafsi pia imenitokea zaidi ya mara kumi ambazo nimekuwa nikishawishiwa na patners tofauti na hapo ikumbukwe kuwa si wa umri mmoja.Ni wa kuanzia miaka 16 mpaa 54 na ninashukuru mara zote niliweza kushinda vishawishi na kuvunja mawasiliano.Na kwa mtazamo wangu nilijifunza kuwa tabia hiyo inatokana zaidi na ushenzi na laana tu iliyomjaa muhusika inayopelekea ajihusishe na ufirauni huu.Ikiwa wewe kama wewe utasimama imara na kusema sitaki uchafu huo hata iweje hautaushiriki na hakuna atakayeeza kukulazimisha.Nashindwa kuelewa kama kweli kuna mwanaume mwenye akili timamu anayeweza kuchovya uume wake kwenye mavi tena ya mtu mwingine,ptuuuu.Tubadilike matendo haya ni ya kukemewa kwa nguvu zote na kwa yeyote anayeshiriki uchafu huu naweza tu kumshauri akawaone wataalamu wa magonjwa ya akili kwani hajachelewa bado na nina imani wanaweza kumsaidia..

...Kwa muktadha huo huo Mkuu, kwa nini Mwanaume mwenye akili yake Timamu achovye MDOMO wake kwenye Mkojo wa mtu mwingine a.k.a kwenda chumvini, na hali mdomo huo huo anautumia kwa kulia chakula??
 
Nimefurahishwa sana kuona ni jinsi gani watu mnajua kupiga kampeini kinafki kwenye jambo hili lisoisha jamvini humu, maana nina miezi kadhaa sijaingia jamvini ni leo naingia nakutana na shauri hili likiwa limeletwa kwa namna nyingine!

Ushauri wangu kwa wale wote wasioshabikia tendo hili wasiwe wanachangia ili kukatisha tamaa mleta mada na mwisho litakomeshwa kabisa kupigiwa debe kupitia jamvini humu.
Wasalaam Alheikhum
 
Huo ni ushetani kabisa wewe unamwingilia unapepo la ngono nenda kaombewe ,hata mungu amesema ole wao wafiraji
 
Sijawahi kumwingilia mwanamke wala mwanamume yeyote kwenye tigo yake lakini nimepata kusoma kuhusu misisimko ya mwili katika eneo la tigo. Tigo ina end nerves nyingi zinazoongeza msisimko zaidi pia ila kitu inabana kama Mungu alivyoitengeneza hivyo inaongeza msisimko kwa mwanamume. Nadhani wengi wanaongozwa na vitu hivyo kufanya uchafu huo. Google anal sex uelewe zaidi.
 
...Laiti Mwenyezi Mungu angetupa uwezo wa kuingia bila kuonekana kwenye vyumba vya kulala na vya guest house vya wale wote tunaotoka mapovu tukipinga na kukemea 'Upigaji simu kwa kutumia mtandao wa Tigo'hapa!
TUNGESHANGAA,kutokana na ukweli kwamba kutokana na Unafiki uliotujaa, ni Watanzania wachache sana ambao wana-practise kile wanacho-preach kwa ukali sana....!!!
 
Hii ni matokeo ya mwanamke kuringishia makalio zaidi kuliko sehemu ya mbele. Makalio yanavutia, so kilicho kati/ndani yake
12bau-thumb1.jpg
 
Jamani MUNGU Baba wa mbinguni alipotuumba, alituumba kwa makusudi yake, na kila kiungo cha mwili alikiumba na kukiweka pale kilipo kwa makusudi yake ili hicho kiungo cha mwili kiweze kufanya kazi sawa sawa na mapenzi ya MUNGU kaajili ya utukufu wa MUNGU.

mara nyingi nimekuwa nikisikia kuwa ".....amemuingilia fulani kinyume na maumbile nk, nk,nk...." na hapa wakimaanisha kuwa amefanyiwa tendo la ngono kupitia mata£$%^&*****....ni, hususani mku*****&^%$£+++***....duni.

sasa swali langu ni hili, hivi kinyume na maumbile ni lazima iwe huko huko mku****""""***....ni????? vipi kuhusu:

1. wanaokulana denda??? kwani MUNGU aliumba midomo iingiliane kimapenzi...???

2. wanaoingiziana sehemu zao za uzazi, (na hapa namaanisha ub*****............ au ku....******a) katika midomo ya wenzao. je, MUNGU aliumba sehemu hizo ziingizwe midomoni...???

Nawasilisha...................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Thanku for this

niungane na kiranga wajua wakati mwingine dini ni kama sumu kwenye bongo zetu. Wakati mwingine tunashindwa kufikiri utasikia oh Mungu akipenda tutaonana kesho ukifa kabla ya kuonana utasikia Mungu alimpenda zaidi hehehehehehehehehehehehehe
 
wewe mjamaa hii kitu ni tamu sana kuliko haya maelezo ninayokupa hapa. utamu wake hauna mfano. shauri yako unakosa utamu
 

Miji ya Sodoma na Gomora, Jordan iliangamizwa na kizazi cha Lutu kugeuzwa miamba ya chumvi lakini hali halisi ya Tanzania inakaribia kuzidi kila uchafu uliomchukiza Mungu na kusababisha maangamizi.

Kasi ya watu kuhusudu mapenzi ya kinyume na maumbile, namna ngono inavyorahisishwa mitaani, uvaaji wa mastaa wa kike Bongo na hulka ya baadhi kuuza miili yao kama njia ya mkato ya kupata mafanikio ni pointi zinazotosha kuifananisha Bongo na Sodoma..



Usaliti na kufumaniana ni jambo la kawaida kabisa kwa tanzania yetu ya leo......Madanguro na disco za nusu uchi ni mambo ambayo yanazidi kushika kasi.

Mbaya zaidi ni kwamba vituo vingi vya kutoa huduma za masaji navyo vimegeuzwa madanguro ya kufanyia uchafu wao......


Inasemekana kwamba mteja anapohudumiwa masaji, anaruhusiwa kuomba huduma ya ziada (penzi) halafu hutozwa kwa bei ya maelewano kati yake na mtoa huduma na kondomu siyo muhimu maana mteja ni mfalme, kwa hiyo anayetoa fedha ndiyo huomba aina ya mtindo anaopenda.

ATHARI ZA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE ( TIGO)

napenda nizungumzie athari 2 kubwa zinazotokana na kufanya mapenzi katika njia ya haja kubwa .

Wanaume waliowengi hivi sasa wamekuwa wakitamani
kuwaingilia wapenzi wao kinyume na maumbile kwa
lengo la kutaka kujiridhisha wao pasipo kujua athari zake na
katika hili athari hazimpati mwanaume tu bali hata kwa mwanamke .......

Athari zake:
Athari ya kwanza: KUZIBA KWA NJIA YA KUPITISHIA MKOJO

kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile kwa upande wa wanaume kunaweza kusababisha kuziba mrija uliopo kwenye uume unaopitisha mkojo, kwani pindi unapokuwa na mpenzi wako unatumia sehemu hii ya matakoni....

Tukumbuke kuwa sehemu hii ina chembe chembe za haja kubwa/mavi zinazokuwa zinapita kwenye lile tundu la kutolea mkojo, na endapo utakuwa unaendelea kutumia sehemu hii utajikuta zile chembe chembe zinajaa kwenye mrija hivyo itafikia kipindi mkojo utakuwa unashindwa kupita kwenye njia yake mpaka uende hospital wafanye upasuaji waweze kusafisha njia. ....AIBU..

Athari ya Pili: KUPANUKA KWA NJIA YA HAJA KUBWA NA KUSABABISHA KUTOKWA NA"MAVI" PINDI MWANAMKE ANAPOTAKA KUZAA

Athari hii hutokea kwa mwanamke ambae amezoea kuingiliwa kinyume na maumbile ...

Tatizo hutokea pindi anapotaka kuzaa, mwanamke anaeingiliwa kinyume na maumbile kwa muda mrefu ile sehemu yake ya haja kubwa hutanuka na kupelekea mishipa iliyozunguka sehemu ile kulegea hivyo inapotokea anahitaji kujifungua/kuzaa inabidi atumie nguvu nyingi katika kumsukuma mtoto ili aweze kutoka ....

Kutokana na mishipa ya ile sehemu yake ya haja kubwa kuwa imelegea,mwanamke hukosa nguvu ya kuziba eneo lile hivyo kipindi anajikema kumtoa mtoto ni rahisi mavi kutoka kwani njia itakuwa imetanuka na mishipa haifanyi kazi.

Tujadili Wakulu
 
hii ipo humu ilianzishwa na mzizimkavu naona kama baadhi umecopy kwake
 
Back
Top Bottom