Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Bwana Kashanga,

Kwa mawazo yangu binafsi, tatizo hilo la wanaoamuwa kujifanyia mapenzi ya hapa na pale kuchaaguwa kuliwatiana ni nusu tu ya tatizo zima linaloikabili jamii.

mimi ningependa wasomi wanaofanya tafiti kama hizo wasingechukuwa mambo kijuu juu tu, kwani kuna umuhimu mkubwa wa kujuwa athari za wanawake wanaoliwatiwa na uwezo wao wa kuzaa.

Kila Dokta mzalishaji anajuwa wazi kwamba wanawake wanaotumia njia ya nyuma kwa starehe ikifika ule wakati wa kuzaa wanashindwa kufikia kiurahisi kile kitendo kiitwacho 'PUSH', yaani nguvu zao za kiuno zinakuwa hafifu sana.

Kwa mtazamao wangu, kitendo hicho cha kuliwatiana kinaongezeka sababu sasa wanaofanya mapenzi wanaona dozi ya raha kwa kufanya mbele imekuwa ndogo,kwahivo wanahisi ili raha iongezeke zaidi wanahitajia kuongeza dozi mbele + nyuma

Ningependa kuwaomba wanatafiti wachunguze idadi ya watanzania wanaofanya mapenzi kabla ya ndoa kuanzi wenye umri wa miaka 15 na wanaofanya mapenzi nje ya ndoa zao?

Tatizo la jamii nihiki kitendo kizima cha kufanya mapenzi kabla ya ndoa na wengine kufanya mapenzi na watu wengine bighairi ya wake/waume zao...nje ya ndoa zao.

Ahsante
 
TGNP peopleee
Si Haki Kusema "wanawake 26%" Wanafanya Kinyume Na Maumbile, Kwani Hao 26% Wanasagana??
Bila Shaka Wanashirikiana Na Wanaume Kwenye Mchezo Huo. Na kwa kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume, ni DHAHIRI Wanaume Watakuwa Zaidi Ya 26%....

Changamoto Ni Kwamba, Hatuwezi Kusema 26% Wanafanya Kinyume Na Maumbile, Ila Tunaweza Kusema ZAIDI YA 26% YA WANAUME WANAWALAZIMISHA/ WANAPENDA KUWAFANYA WENZI WAO KINYUME NA MAUMBILE...

Ni Mimi Mkeretwa Wa Usawa Wa kijinsia.
 
Baada ya hapo sijui ni tundo gani linafuatia...
 
Du ipo kazi!

Hivi sheria inasemaje mtu akifanya/fanywa kinyume cha maumbile?

Adhabu yake ni nini?
 
hahaa haaha sijui wapi patafata aisee

Ila mi nauliza ni kwanini watu wanajifanya kukandia matumizi ya 'distal' end of the alimentary canal (anus), wakati hawakemei matumizi ya 'proximal' end of the canal (mdomo), kwenye sex. Mdomo na anus zote ni sehemu zinazohusiana zaidi na mfumo wa chakula (na kuongea), na si za sex. Then kwa nini tunapotumia njia hiyo huku juu tunaona ni sawa, lakini sio kutumia 'huko chini'?
 
KABANG ......hi hatari yaani apatapo ujauzizo KU-push itakuwa balaaaa, misuli yote itakuwa ishakuwa milegevu
 
Mtafiti Mwanasayansi, Irene Mremi kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu nchini Tanzania (NIMR) alitoa ripoti hiyo hivi karibuni hapa jijini Dar Es Salaam.

Mremi akiwa na jopo la watafiti kutoka NIMR anasema kuwa wanawake hao wamesema chanzo kikubwa kinacho wapelekea kufanya ngono kinyume na maumbile ni kujipatia kipato zaidi na Kuogopa kupata Mimba.

Vilevile alizitaja sababu nyingine za wanawake kufanya mapenzi kwa njia hiyo ni kulinda usichana wao na baadhi ya mila na tamaduni za baadhi ya makabila.

Sampuli za utafiti

Utafiti huo ulikusanya sampuli kutoka katika mikoa ya Dar es salaam, hasa maeneo ya Kinondoni, Tanga, Makete na Siha.

Mremi anasema “Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu wa bar, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani

Wanaume waliohojiwa wamesema wanafanya kwa ajili ya kupata raha tu na imani ya kuwa huko hakuna maaambukizi ya VVU, kitu ambacho ni uongo, kwani huko ndiko kwenye kuchangia ukimwi kwa haraka zaidi kuliko sehemu nyingine yoyote
SOURCE:
Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile - mwanzo - mwananchi.co.tz

Mungu awahurumie dah, Hiki kizazi hiki???kweli ni cha nyoka....yaani panapohusika pako lakini hawapataki, matumizi mabaya ya mwili.
 
utamu wa tigo kitu kinabana kinoma noma bao unalisikia mpaka kisogoni
 
Majidume yanayojigeuza kama mammbwa kama umechoka utamu wa papuchi c uache sex mpaka hamu ije??? Unamgeuza mwenzio kisa raha za kishetani tu tabu apate yeye raha upate wewe.?
 
avatar66278_39.gif
14 years prison term
avatar66278_39.gif
avatar66278_39.gif

Hiyo kitu ya kufungwa miaka 14 nakataa labda iwe watu wa jinsia moja km hawa
unajua kitu ya makubaliano ndani ya chumba hukuna adhabu, ushahidi unakuja pale atakapo lazimishwa au kubakwa
Tanga yaongoza


“Tanga ndiyo kumeonesha kukithiri kwa vitendo vya wanawake kufanya mapenzi kinyume na maumbile ukilinganisha na Makete ambako bado kuna idadi ndogo” anasema Mremi

Fikra za kulinda ubikira

Ilibainika kuwa wasichana wengine walikiri kufanya hivyo kwa ajili ya kulinda ubikira wao na baadhi ni mila na tamaduni za baadhi ya makabila
 
Hiyo kitu ya kufungwa miaka 14 nakataa labda iwe watu wa jinsia moja km hawa
unajua kitu ya makubaliano ndani ya chumba hukuna adhabu, ushahidi unakuja pale atakapo lazimishwa au kubakwa
that term is for consenting adults both M/M and M/F, single au wanandoa. hiyo ya ubakaji/kulazimisha ni rape ya kawaida yenye 30 year term
 
Back
Top Bottom