Kwasababu wanataka kufanana na wazungu wanao wazungumziaNaomba kupata sababu kama kumi kwanini Wanawake/wasichana wengi wa kiafrika wanapenda kuvaa mawigi siku hizi?
Sababu moja tu kubwa niliyoisikia kutoka kwa wanawake ni kwamba wanadai wakivaa mawigi ndio wanapendeza. Mawigi ninayoyaona mengi ni ya nywele zinazofanana na nywele au mitindo ya nywele za wazungu. Kama sababu yao kubwa ndiyo hiyo ina maana wazungu tu ndio wanaopendeza?
Elimu ni bahari, naombeni majibu ya kina, Wakuu.
Kwasababu wanataka kufanana na wazungu wanao wazungumziaNaomba kupata sababu kama kumi kwanini Wanawake/wasichana wengi wa kiafrika wanapenda kuvaa mawigi siku hizi?
Sababu moja tu kubwa niliyoisikia kutoka kwa wanawake ni kwamba wanadai wakivaa mawigi ndio wanapendeza. Mawigi ninayoyaona mengi ni ya nywele zinazofanana na nywele au mitindo ya nywele za wazungu. Kama sababu yao kubwa ndiyo hiyo ina maana wazungu tu ndio wanaopendeza?
Elimu ni bahari, naombeni majibu ya kina, Wakuu.
leo ni meshangaa kuona uzi wako bila kutanguliza vifungu vya bibilia .ila unavoongea lazima kuna mtu hata kuja na vifunguNaomba kupata sababu kama kumi kwanini Wanawake/wasichana wengi wa kiafrika wanapenda kuvaa mawigi siku hizi?
Sababu moja tu kubwa niliyoisikia kutoka kwa wanawake ni kwamba wanadai wakivaa mawigi ndio wanapendeza. Mawigi ninayoyaona mengi ni ya nywele zinazofanana na nywele au mitindo ya nywele za wazungu. Kama sababu yao kubwa ndiyo hiyo ina maana wazungu tu ndio wanaopendeza?
Elimu ni bahari, naombeni majibu ya kina, Wakuu.
DuhKwa sababu hawana akili na hawajiamini jinsi walivyo kichwani.
Unajua ni yule tu asiye na akili kichwani atavaa wigi, kucha, tako bandia, maziwa bandia, kitunisha papuchi bandia juu ya mwili wake na akatoka nje akijidai kapendeza.