Kwanini Wanawake wengi wa Kitanzania siku hizi ni Wavivu mno kunyoa Nywele zao za Sirini?

Kwanini Wanawake wengi wa Kitanzania siku hizi ni Wavivu mno kunyoa Nywele zao za Sirini?

Umepaniki
Ktk mqisha yangu vitu ambavyo sitokaa nivifanye nikukasirika mitandaoniii hata Siku moja na mambo kibao ya kufikiria, pole yako wewe
 
Wavulana hawa,hakuna haja ya kupoteza muda kupiga nao kelele stress zinawasumbua hapo ukute hata ela ya kula hana anakazi kukaa kutunga tunga upuuzi na kuuweka jf kujifariji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106]
 
Sikujua anatimiza ahadi aliyoweka jana, wanawake wa kitanzania sijui tuko milioni ngapi na yeye kaona milioni ngapi,anyway tumuache tu akuze kipaji chake cha kuibua matatizo kupitia sample zake binafsi na kuyafanya national issues.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ekeleuwii
 
Siku hizi si jambo geni tena au la kushangaza kwa sisi Wanaume wengi ambao huwa tunaenda ' Kubanduana ' na Wapenzi wetu kukuta wakiwa hawajanyoa kabisa ' Nywele ' zao za Sirini / Makao Makuu yao ya Kibaiolojia na kinachosikitisha wenyewe hata huwa hawajali na hawashtuki pale unapomuuliza au kumkuta hajaunyoa ' Unywele '.

Ni Kitendo cha aibu sana hasa kwa Mtoto wa Kike wa Kiafrika kukutwa anamiliki ' Pori ' kubwa la ' Ihefu ' katika sehemu zake za Siri / Mbunyeni ila kama Wewe ni Mwanaume mwenzangu upo siku hizi ikitokea umetongoza na kukubaliana na Mademu na kwenda ' Kuwabandua ' wakiwa Watano basi Wanne kati yao ukikutana nao lazima tu utawakuta ' wanamiliki ' Pori kubwa la Ihefu ' Ikuluni ' mwao.

Nilipata bahati ya kwenda mbele zaidi juu ya hili na nikamuuliza ' Daktari ' mmoja wa masuala haya ya Magonjwa ya zinaa na ya maumbukizi na bila ' kumung'unya ' au ' kutikisa ' au ' kupepesa ' Daktari huyo aliniambia kwamba karibu 90% ya Wasichana / Wanawake wengi wa siku hizi wanatoa harufu mbaya ' Mbunyeni ' au wana maambukizi makubwa ya ' Fungus ' ni kutokana na kutokupenda kunyoa ' Unywele / Uvuzi ' Ikuluni mwao.

Kwahuwa humu JF tunao Dada zetu wengi pengine kwa kutumia ' platform ' hii basi watusaidie kutuambia kwamba ni kwanini wengi wao huwa hawapendi ' Kunyoa ' nywele zao za ' Sirini ' kwani yawezekana labda kuna ' Ubunifu ' wao mpya ' wameuanzisha ' na Sisi ' Wanaume ' wa siku hizi hatuzijui.

Hapo nyuma nilikuwa nikiwaona sana Mabinti / Wanawake katika ' Fukwe ' zetu wakiwa wamekuja ' Kuogolea ' mara nyingi kila macho yangu ' yakiangaza ' katika center of focus yangu ambako ni Mbunyeni huwa naona zile ' Chupi / Kufuli / Nguo za Ndani ' zao zimetuna tuna na nikawa nadhani labda ni ' maumbile ' yao tu kumbe inasemekana kuwa kule ' kutuna ' ni ' uhalisia ' wa ' zigo ' la Msitu wa Ihefu anaoumiliki kutokana na ' uvivu ' wao wa ' Kutokunyoa ' hizo Nywele.

Dada / Wanawake zetu hebu tusaidieni katika hili ' tafadhali ' na jitahidini ' Kunyoa ' basi huo ' Unywele ' wenu wa ' Sirini / Mbunyeni '.

Nawasilisha.


Tatizo ni kuwa wanawake wengi sasa wamekuwa ni wachapa kazi hawaendekezi kukatika ...Mwanamke wa sasa anasaka ANKARA...Wanaume mmekana majukumu yenu mmewaachia wanawake ndio maaana yake...atanyoa saa ngapi huku mbambo kibao yanamsubiri..
Wanawake wa sasa si wale wa kula kulala
 
UGLY POST
Kwa taarifa yako wapo wanaume wengi ili afurahie lazima afanye ukiwamo msitu la sivyo hataki kuona anambaka mtoto. Pia siamini kuwa kuwa na msitu ndio sababu ya kuwa na fungus au kutoa harufu hayo maeneo. We sema hupendi tu. Kwani kabla ya wembe na nyembe kuwepo wanaume walikuwa wanafanyaje na je unafikiri mungu ni mjinga aoteshe nywele sehemu hizo? Mungu anajua kwa nini aliweka nywele huko ni lazima zina kazi maalumu
 
Hii dozi naona imewaingia wahusika sababu kuna waliochukulia poa na kuna waliogeuka mbogo jiwe gizani lililowapata tumewajua
 
Jua ' Dozi ' imeingia vizuri sana mahala pake. Kama ukitaka pia kuangalia idadi ya ' likes ' zangu unaweza tu ukatupia jicho lako ' Kiumakini ' sana hapo juu ambapo kuna ID yangu hii ' brand ' kisha hesabu zipo ngapi halafu kama hutojali nakuomba ufafanishe na za Kwako halafu unipe jibu.

Ndiyo maana hata ' Signature ' yangu inakujibu vizuri tu kuwa ' I am talented and charimastic '.
Acha mbwembwe na ujuaji mwingi
 
Back
Top Bottom