Kwanini Wanawake wengi wa Kitanzania siku hizi ni Wavivu mno kunyoa Nywele zao za Sirini?

Umepaniki
Ktk mqisha yangu vitu ambavyo sitokaa nivifanye nikukasirika mitandaoniii hata Siku moja na mambo kibao ya kufikiria, pole yako wewe
 
Wavulana hawa,hakuna haja ya kupoteza muda kupiga nao kelele stress zinawasumbua hapo ukute hata ela ya kula hana anakazi kukaa kutunga tunga upuuzi na kuuweka jf kujifariji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106]
 
Sikujua anatimiza ahadi aliyoweka jana, wanawake wa kitanzania sijui tuko milioni ngapi na yeye kaona milioni ngapi,anyway tumuache tu akuze kipaji chake cha kuibua matatizo kupitia sample zake binafsi na kuyafanya national issues.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ekeleuwii
 


Tatizo ni kuwa wanawake wengi sasa wamekuwa ni wachapa kazi hawaendekezi kukatika ...Mwanamke wa sasa anasaka ANKARA...Wanaume mmekana majukumu yenu mmewaachia wanawake ndio maaana yake...atanyoa saa ngapi huku mbambo kibao yanamsubiri..
Wanawake wa sasa si wale wa kula kulala
 
UGLY POST
Kwa taarifa yako wapo wanaume wengi ili afurahie lazima afanye ukiwamo msitu la sivyo hataki kuona anambaka mtoto. Pia siamini kuwa kuwa na msitu ndio sababu ya kuwa na fungus au kutoa harufu hayo maeneo. We sema hupendi tu. Kwani kabla ya wembe na nyembe kuwepo wanaume walikuwa wanafanyaje na je unafikiri mungu ni mjinga aoteshe nywele sehemu hizo? Mungu anajua kwa nini aliweka nywele huko ni lazima zina kazi maalumu
 
Hii dozi naona imewaingia wahusika sababu kuna waliochukulia poa na kuna waliogeuka mbogo jiwe gizani lililowapata tumewajua
 
Acha mbwembwe na ujuaji mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…