Yaani!! tunasahau sahau.ππ kumbe nilisahau kabisaa
Aiseeh!You cracked me up rafiki.Mim mtoto wangu wakike Ni marufuku kuolewa na Watu weusi awe mrefu au awe mfupi ila kama ni Mweusi namtoa baru kuchafua Damu tu
Am fine darling, kuhusu urefu haina shida utakua unapanda kwenye stuli tukitaka kukissπYaani!! tunasahau sahau.
anyway how are you my love β£οΈ.
Ila mimi ni mfupi wa wastani.
Dishi limeyumba π€£Hayo mambo ya urefu na ufupi ni mambo ya teenagers. Ukiona mwanamke mtu mzima anayehangaika na mambo ya urefu na ufupi jua ana matatizo kidogo.
Ni mtizamo wangu tu , tamthiliya zipi zinazoonesha wakaka warefu hadi zitudanganye?.
Wewe hauna kigezo unachopenda kwa mdada mfano rangi, chura, sura? Tusidanganyane bana.
Sasa hayo machaguzi kibao ni yapi wakati hapa inaongelewa urefu? Kila mtu ana kakitu anakowish kawepo banaAkiwa wa kawaida siyo mbaya, siyo lazima awe pisi kali, kikubwa heshima, akiwa mrefu kunipita ni sawa, chura sina haja nalo sili kisamvu mimi, akiwa flat au kawaida siyo mbaya, awe na chura asiwe nalo hakuna shida.
Ila nyie sasa machaguzi kibaoooo.
Tamthilia hizo hizo huko kwenye Tv, Netlfix series na kadhalika....
Wenye 190cm wako category gani boss?Kibongo bongo urefu unaanzia 177 cm au 5'8 feet
bila hela?awe mrefu, smart, black na mishipa ijichore mikoni huyu tutaongozana had mbinguni
Asante Mpenzi.Am fine darling, kuhusu urefu haina shida utakua unapanda kwenye stuli tukitaka kukissπ
Wewe ni mama mwana, mke wa mratibu elimu kata ya mkindo?awe mrefu, smart, black na mishipa ijichore mikoni huyu tutaongozana had mbinguni
asante Mungu kuniumba mrefuWana muonekano mzuri. Hakuna sababu nyingine
ndio wapi tena huko? niko huku sombetini ndani ndaniWewe ni mama mwana, mke wa mratibu elimu kata ya mkindo?
Nicheki kama upo Sombetini hapo tujadili hii mada comprehensively, nipo hapa Majengondio wapi tena huko? niko huku sombetini ndani ndani
Kwakuwa umesema wengi na sio Wote hapo sina commentWadau hamjamboni nyote?
Mada ipo mezani karibuni tujadili Kwa hekima na busara
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Mkuu ndhani hao wanawake watakua wafupiWadau hamjamboni nyote?
Mada ipo mezani karibuni tujadili Kwa hekima na busara
Lugha zisizo na staha hazikubaliki