Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
KabisaBila shaka vitu kama Savannah na windhoek havitokosa
TanteeeeeMambo ujue unajina zuri sana [emoji39]
OMGInaongeza nguvu za kike, na gundi gundi ukeni, japo mi napendelea sparleta
Ok agiza mkuu nakujaYaani mie Pepsi napenda kutoka rohoni.. Ndo ulevi wangu yaani!!!
Relaaax
Unalewa mkuu?[emoji2] [emoji2] [emoji1]Yaani mie Pepsi napenda kutoka rohoni.. Ndo ulevi wangu yaani!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124]Labda kwa sababu ya vyuma vimekaza.
We siku ukiiona anakunywa hiyo pepsi mwambie waiter akamsikilize aagize chochote utaona vitu vinavyokuja hapo
Usikute wewe ni damu moja na Mimi????[emoji4] [emoji4] [emoji4] mi mwenyewe nazipenda sn hizo soda hasa hasa passionMie niko kinyume kabisaaa.
Yaani siku ambayo nitakunywa soda basi ujue bila Fanta passion au Fanta pinapple basi kiu cha soda hakitakwisha.
Hahaaa. Itakuwa hivyo ujue mdogo wangu sababu sio bure. Da Emmy wako ndio huyu. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usikute wewe ni damu moja na Mimi????[emoji4] [emoji4] [emoji4] mi mwenyewe nazipenda sn hizo soda hasa hasa passion
Mi mwenyewe swahiba tangu nijitambue sijawahi enda sehemu na kuanza kuagiza pepsi.Me nipo tofauti.
Pepsi kwakweli hapana siipendi kutoka moyoni.
Hata mm nahisii but damu nzito kuliko maji km ndiyo we halisi nitajua tuHahaaa. Itakuwa hivyo ujue mdogo wangu sababu sio bure. Da Emmy wako ndio huyu. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaa. Kweli kabisa mdogo wangu.Hata mm nahisii but damu nzito kuliko maji km ndiyo we halisi nitajua tu
aiseeRelaaax
Vwipi hozeeaisee
ya kweli hayo usemayo kuhusu PepsiVwipi hozee
Yaani bora nisinywe soda kabisaMi mwenyewe swahiba tangu nijitambue sijawahi enda sehemu na kuanza kuagiza pepsi.
AsanteOk agiza mkuu nakuja