Kwanini wanawake wengi wanapendelea kunywa soda ya pepsi

Kwanini wanawake wengi wanapendelea kunywa soda ya pepsi

Katika Uchunguzi wako Ulijiuliza Je, hao wanaokunywa ni Wake za Watu, Au wameolewa au Wadada tu wasiona mahusiano au Waakunywa kama option pekee iliyopo kwenye mgahawa huo au wanakunywa kwa kuwa mwenza wako amepropose wanywe pepsi.. Je uliwafuatilia hata wanapohama Migahwa wanakunywa hiyo hiyo ... Je vipi Bei nayo ulifanya ulinganifu..
Wanaokunywa ni walioolewa | wasioolewa kifupi ni wote wanawake ila kwa asilimia kadhaa sio wote naweza kukadiria kwa 70% asilimia, Pepsi imekuwa kiburudisho kwao je sababu ni nini.....??
 
Mie niliichukia tangia nione siku moja dada mmoja from ZNZ tukiwa Chuo aliagiza pepsi akawa anakunywa lakini kukawa kuna kitu kigumu kigumu akadhani ni bonge la barafu labda kinywaji kimeganda, kufika mwisho mwisho kumbe ni mende tena yule mkubwa wa chooni!!!! tokea hapo sinywi wala coca wala soda yoyote yenye u brown au weusi, nakunywa sprite ili nione vyema ndani ya chupa kilichomo!!!!
Ni kweli lakini kiwandani pia hawapo makini hizo ni itilafu zinatokea tu,
You can't separate me away from coca cola.
 
Huku Kimara Stop Over wengi wanapenda Ngumu Kumeza, Kitu mixer Jiki, Amira, shilingi za matobo n.k

Nadhani utafiti wako ulibalance eneo moja tu kama ulivyo wangu.
Hahahaaa bar tender.

itabidi nije huko kufanya reachers......
 
Back
Top Bottom